Wanaume vichwa wanazidi kupunguaMwanaume Kichwa
Huwaga huna msamaha wee, lolKukoswa nguvu lazimaWito wangu.... Aachane na huyo mwanamke mara moja iwezekanavyo KWA SABABU MSALITI HASTAHILI MSAMAHAA WALA NAFASI YA PILI.
Hakuna mtu asiyestahili msamaha kama watu wa hiviHuwaga huna msamaha wee, lol
Nimekuelewa mkuuHakuna mtu asiyestahili msamaha kama watu wa hivi
Unahangaika kumlisha..kumvisha, apendezeee, azidi kua wakisasaaa, mtoto , huduma boraa kila mahali
Yaaan tena hapo, usikute jamaa yupo ziwani usiki wa maneno, demu anaomba hela mtoto anaumwa..jamaa anatumaa
Ziwani kuna Mamba, kuna mashetani n.k
Alafu nirudi, nikute unamimba??
Ukijijua umenichepukia ukapata mimba au usipate , ukijua nitajua na lazima nijue basi
una machaguzi mawali tu
Kuondoka Bila Aibu...Uondoke kwa aibu mpaka Dada, kaka ,mama yako, baba yako ,ndugu, watajua nmekufukuza .
Alafu Sikurudiiii ng'oooo.
Wanasemaga et kuchapiwa ni siri ya ndaniet usiwambie watu sababu unaweza mrudia huyo demu. Alafu ukapata wewe aibu????
AIBU UTAKULA WEWE, SINAGA AIBU.
Hahahahah yaaan lol, wee mkeo anatakiwa kuwa muangalifu, pia na wee ujithaminishe km n muaminifu.Hakuna mtu asiyestahili msamaha kama watu wa hivi
Unahangaika kumlisha..kumvisha, apendezeee, azidi kua wakisasaaa, mtoto , huduma boraa kila mahali
Yaaan tena hapo, usikute jamaa yupo ziwani usiki wa maneno, demu anaomba hela mtoto anaumwa..jamaa anatumaa
Ziwani kuna Mamba, kuna mashetani n.k
Alafu nirudi, nikute unamimba??
Ukijijua umenichepukia ukapata mimba au usipate , ukijua nitajua na lazima nijue basi
una machaguzi mawali tu
Kuondoka Bila Aibu...Uondoke kwa aibu mpaka Dada, kaka ,mama yako, baba yako ,ndugu, watajua nmekufukuza .
Alafu Sikurudiiii ng'oooo.
Wanasemaga et kuchapiwa ni siri ya ndaniet usiwambie watu sababu unaweza mrudia huyo demu. Alafu ukapata wewe aibu????
AIBU UTAKULA WEWE, SINAGA AIBU.
Mkuu huwa sipendi kumfanyia mtu kitu ambacho km angefanya kwangu ningeumia.Hahahahah yaaan lol, wee mkeo anatakiwa kuwa muangalifu, pia na wee ujithaminishe km n muaminifu.
Kitanda hakizai haramu.
Ndudu wana jukwaa ni kwamba ni rafiki yangu ambaye kazi yake ni mvuvi wa samaki, amekuja kwangu kuomba msaada wa kimawazo kuwa yeye alitoka kwenda kuvua samaki, familia yake akawa ameiacha, Alimuacha mke wake na mtoto wake mmoja, huko alikaa miezi miwili na baada ya kurudi tuu alimtilia mashaka mke wake kuwa amehamisha penzi kwa mwanamume mwingine na alipofika tuu mke wake alimpeleka kupima mimba.
Baada ya kufanya kipimo, mimba kama ya wiki tatu ilionekanajamaaa alikosa nguvu na baada ya hapo kaja kwangu kuomba ushauri na mimi nimemwabia kuwa ni KOSA KUBWA SANA MWANAMKE ULIYEMTOLEA MAHARI APIGWE MIMBA HALAFU WEWE UMEENDA KUPAMBA ILI ALE --HIVYO MIMI USHAURI NILIOMPA NI KUWA AMPIGE CHINI ACHANE NAYE.
KWENU WAKUU KWA MSAADA.
Ahahahahahajhahahaj.Senior member unachanja mbuga tu
Wewe umekosa sifa kabisa ya kuwa mshauri kwa sababu zifuatazo;Ndudu wana jukwaa ni kwamba ni rafiki yangu ambaye kazi yake ni mvuvi wa samaki, amekuja kwangu kuomba msaada wa kimawazo kuwa yeye alitoka kwenda kuvua samaki, familia yake akawa ameiacha, Alimuacha mke wake na mtoto wake mmoja, huko alikaa miezi miwili na baada ya kurudi tuu alimtilia mashaka mke wake kuwa amehamisha penzi kwa mwanamume mwingine na alipofika tuu mke wake alimpeleka kupima mimba.
Baada ya kufanya kipimo, mimba kama ya wiki tatu ilionekanajamaaa alikosa nguvu na baada ya hapo kaja kwangu kuomba ushauri na mimi nimemwabia kuwa ni KOSA KUBWA SANA MWANAMKE ULIYEMTOLEA MAHARI APIGWE MIMBA HALAFU WEWE UMEENDA KUPAMBA ILI ALE --HIVYO MIMI USHAURI NILIOMPA NI KUWA AMPIGE CHINI ACHANE NAYE.
KWENU WAKUU KWA MSAADA.
Ziwa lipo mbali na makazi yaoHapo kuna ukakasi kidogo, alienda kuvua miezi 2 ni uvuvi gani huo unakaa kwenye maji kipindi chote hicho? Pia inaonekana iyo mimba ya shemeji imepatikana kwenye mazingira ya uwepo wa jamaa lakin si kwenda kuvua samaki
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Asante mkuuWewe umekosa sifa kabisa ya kuwa mshauri kwa sababu zifuatazo;
1. Hiyo issue ipo sensitive sana hivyo ungemtuliza kwanza ili na wewe utafute jibu linalo onekana ni sahihi zaidi
2. Sikuona mahali umeandika maswali uliyo muuliza mf: anavulia wapi na kama kuna umbali kweli wa kukaa miezi miwili bila kurudi; na pia kama walikuwa na makubaliano na mkewe kwamba ataenda kukalia huko kwa muda mrefu kiasi hicho?
3. Hapo umesikiliza maelezo ya upande mmoja ukaya amini, unahakika gani kwamba hakuna vitu vingi vimejificha kwenye hayo maelezo. Kwa nini usingetafuta muda usikilize na upande wa pili wa mke
4. Ushauri huwa sio kumpangia mtu maamuzi ya kuchukua ila ni kumuongoza kufanya maamuzi yaani kumpa faida na hasara za kufanya na yeye aamue mwenyewe
5. Mwisho: wewe umeshamuamulia cha kufanya na sio kumshauri; sasa umeleta huku jukwaani ili tukushauri nini wakati umeshatoa maamuzi?????