Nyanda lunduma
Senior Member
- Apr 10, 2015
- 187
- 68
Wakuu mimi nina tatizo la macho kuwasha kila ifikapo jioni macho yangu huwa yanawasha sana hadi kupelekea kuyakuna mpaka yanakuwa mekundu.
Naombeni msaada.
Naombeni msaada.
Wakuu mimi nina tatizo la macho kuwasha kila ifikapo jioni macho yangu huwa yanawasha sana hadi kupelekea kuyakuna mpaka yanakuwa mekundu , naombeni msaada.
Asante.HII NDIO SURUHISHO LA TATIZO LA MACHO KUWASHA
Wakuu mimi nina tatizo la macho kuwasha kila ifikapo jioni macho yangu huwa yanawasha sana hadi kupelekea kuyakuna mpaka yanakuwa mekundu.
Naombeni msaada.
Asante sanaTembelea hospitali ya macho watambue una allergy na nini?
Asante mkuuLabda Una allergy ya giza. Meza kidonge cha Benadryl 25 mg kila siku mchana uone kama macho yataendelea kuwasha jioni.
Asante sana nimeona unafuu kabsaAsante.
Asante kwa elimuHII NDIO SURUHISHO LA TATIZO LA MACHO KUWASHA
Allergic ConjunctivitisWakuu mimi nina tatizo la macho kuwasha kila ifikapo jioni macho yangu huwa yanawasha sana hadi kupelekea kuyakuna mpaka yanakuwa mekundu.
Naombeni msaada.