Nina tatizo la macho kuwasha

Nyanda lunduma

Senior Member
Apr 10, 2015
187
68
Wakuu mimi nina tatizo la macho kuwasha kila ifikapo jioni macho yangu huwa yanawasha sana hadi kupelekea kuyakuna mpaka yanakuwa mekundu.

Naombeni msaada.
 
Wakuu mimi nina tatizo la macho kuwasha kila ifikapo jioni macho yangu huwa yanawasha sana hadi kupelekea kuyakuna mpaka yanakuwa mekundu.

Naombeni msaada.
Allergic Conjunctivitis
Tumia
Dexamethasone eye drops or
Sodium Chromoglycate eye drops
Plus
Any of these below
Cetrizine/Loratidine/Levocetrizine/Fenoxefetadine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom