Ni muda sasa Dunia ikiwa ina pambana na Janga la Corona.
Modelling ya Wanasayansi nchini Kenya inaonesha kufikia mwishoni mwa mwezi April 2020 kuna uwezekano wa Kenya kuwa na Wagonjwa 10,000. US inaonesha by August 2020 marehemu wanaweza kuwa zaidi ya 82,000. Italy kwa sasa vifo ni zaidi ya...
Shida ya ZITTO ni mnafiki. Yy ana penda kila jambo bora lifanyike upande wake. ACT haina wafuasi Bara. Ila anajiona Mungu mtu. Ana jimwambafai ili ionekane ana nguvu! Kumbe mdomo tu!
Binafsi sijawahi kumuamini huyu Dogo. Ni mchumia tumbo.
Kule kigoma JPM alimpa dk5. Mbowe Mwz kaongea dk1 tu...
Hongera kwa ku copy Kenya.
Coz Kenya judgement ilikuwa Mwezi uliopita. Na jamaa alishinda. But in reality nothing has changed. Coz wameweka vifurushi vya aina2. With No expire date and With Expire date.
Shida una ongelea ushamba na lack of exposure!
Dodoma ina nini? Maengo ya UDOM yalio jengwa kwa Ramani 1 kama Rental Houses au? Miundombinu yake haina hadhi ya mji Mkuu.
Dodoma inazidiwa na mji mdogo wa NAKURU Kenya, siyo level hata ya MOMBASA. Ghorofa za NAKURU si chini ya 200. Dodoma ukitoa...
Inakua kutoka wapi? Tume toka mlo 1 hadi 2 basi. Ila hela ya kuwekeza ktk Multi-billion Projects Tz hakuna.
Na huyu msukuma alivyo kuja na ukari wake ndio Wawekrzaji wooote wa viwanda vya maana Simu, magari, nk vimekibilia Rwanda na Kenya. Dangote nikama nae ana Recover Capital tu nae asepe...
Tanzania ni nchi maskini sana. Hivyo tunajisifia hata vitu vidogo vidogo sn.
Dodoma haiwezi kuwa mji mzr kamwe!! % kubwa ya Watanzania ni maskini-mji haupambwi na majengo ya serikali bali Majengo mazuri ya Makazi ya Raia, Ofisi binafsi /Commercial Buildings, kwa Dodoma Bado sn.
Imejazana na...
Mm siongei Mengi.
Namtaka Bw. Anthony Mtaka awe mkuu wa Mkoa wa MARA, JPM sikia kilio changu.
Au awanie Ubunge Musoma Vijijini.
Hao akina Adam Malima ukuu wa Mkoa ni vyeo vya fadhila kwa Baba zao vyeo serikalini na CCM. Unakuta akili za ki uongozi ni sawa na Bashite.
Kazi kunenepeana mitumbo tu!
Watu wanaelewa haya mambo
Usitake kuwafanya watanzania wajinga!!
Huwezi implement hiyo sheria ili hali Life expectancy ya nchi yako ni miaka 45 hadi 50. Hiyo 60 ni ya kupika tu. Haya tu assume ni 60! Mtu ana staafu na 55 au 60. Una mlipa 25% na 75% ana dhulumiwa akifa na 62 yrs.
Kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.