Ebu tudadavulie kidogo mifano yako, yaani tuambie kule Zambia ni mwanasiasa yupi alitemwa na chama tawala na kuingia ikulu kwa tiketi ya upinzani, vilevile Ghana na ujerumani yalitokea hayo mwaka gani, chama gani, marais gani ?
Wewe ni muuaji na utaendelea kuwa muuaji mpaka unaingia kaburini, hakuna mtu anaruhusiwa kutoa uhai wa binadamu mungine hata kama yu mahututi kisasi gani, alafu unasema eti ulipata ujasiri ukamua kwa kumkaba, huo haukua ujasiri bali ulipata pepo la kuua na ndio hilo linaloendelea kukutesa
We flora acha kushobokea kuua, ivi ingelikuwa ni ndugu yako kapatwa na maleria ya gafla, ndio akaanza kujeruhi watu, then wanainchi wanamuua, kumbe we utasheherekea eh!
Watu wa dar muna roho mbaya, wala haikuwa isue ya kuua hii, kwa sababu yawezekana kbsa kwamba huyo jamaa alichanganyikiwa baada ya kulishwa limbwata na demu wake, au maleria yamepanda kichwani. sasa munamuua alafu watoto wake nani atawalea
Asante kwa taarifa, lkn mbona nina mashaka na wewe, kwani we ulijuaje kuwa majambazi walimpiga risasai baada kuhisi kuwa raia huyo anaenda kujipanga, we ulikuwepo kwani!
Bado wabongo tuna tabia ya kuthamini vitu vya nje na kudharau vya kwetu, huyu Ze mbwela ni mtangazaji mahiri ambae anaweza kushika hisia za wasikilizaji wake kwenye vipindi vyake, na nataka niwaambie kuwa hiyo kazi anayoifanya alipitia vigezo vyote vya utangazaji na ndio maana yuko pale, na...
Mi naweza kukubaliana na mleta mada kwa sababu kadhaa ingawa sijafika moshi, miji mingi ambayo haibadiliki huwa na tabaia ya kukimbiwa na wenyeji na hili halina ubishi kwa sababu wachaga wengi wameukimbia mji huu na wako kwenye miji mingine, na huko waliko ni maarufu kwa kujenga magorofa, hotel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.