Samsung ni user friend n uzuri wake u can download any program kwenye play store yake na ikakubali tofauti na Iphone kuna programme zake inabidi ununue
Kunaa jamaa yangu anayo q5 but apps za android zinazumbua sana ku download hata jamii forum kashindwa download,nami nilishakuwa na z10 ilinisumbua sana
Morning wana JF naomba mnisaidie shule gani nzuri ya wasichana yenye mchepuo combination ya ECA kwani nina mdogo wangu kamaliza form four nataka kujua ana GPA 1.7
100% unaweza kuwa na msichana anakuita baby baby kumbe haupo mwenyewe mpo hata ten sasa huyo na yule ya barabarani wanatofauti gani au wale kila cku samaki samaki,element wantash na hi spirit anajifanya eti anapenda tu out nakujifanya anatoka kwa pesa yake kidume tokea nunua savanah anaanza...
Alikuwa mchapa kazi, shujaa but najua ccm mnafikiria tu kuchumia tumbo sifikiri angeliendelea kuwa waziri mkuu kama Nchi ingekuwa ya mafisadi kiasi hiki.
Kila mwaka april 12 ndio kumbukumbu ya kifo cha waziri mkuu miaka ya 1981 to 1983 na 1983 to 1984 umauti ulipomkuta lakina cha kishangaza siki hii haipewi kipaumbele kama kwa viongozi wengine waliotangulia mbele ya haki kama ilivyo Karume Day, Nyerere Day na nyingine, tunaomba serikali ya CCM...
Tatizo sio kuwa na pesa alipokutoa wema inabidi umshukuru sana pesa sio kitu but ubinadamu aliofanya kwa ile siku sio wema ungeenda jela hiyo kiburi ya pesa leo ungepata wapi na kumchukulia bwana ungekuwa na uwezo ungeambia familia waende bank watoe hiyo 13m wakutoe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.