Aliyekuwa mgombea Urais kupitia chama cha ADC Zanzibar amevuliwa uanachama wa chama hicho baada ya kuunga kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Rais na Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi zanzibar ZEC, Bwana JECHA.
Dhambi ya usaliti malipo ni hapa hapa duniani.
Katika uchaguzi mkuu wa USA huyu ndiye ataibuka mshindi na kuongoza USA akiwa anapokea
kijiti toka kwa Barrack Obama.
Kwa msimamo ya huyu mgombea atawanyoosha viongozi wa Africa wenye kung'ang'ania madarakani kama KURUNZINZA wa Burundi.
#MakeAmericaGreatAgain
Na bado wengi bado wamo nchini. Kuna jamaa angu mmoja hivi yuko sehemu huu ni mwaka wa 6 yumo nchini kinyemela.
Kila Maafisa wa uhamiaji wakimfata anamalizana nao kwa kuwapa kitu kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.