Habari wadau,
Niende moja kwa moja kwenye mada,
Sikukuu ya May Mosi ilitangazwa kuwa stahiki zote zimefunguliwa ikiwemo kupanda madaraja, uhamisho n.k. Lakini ukiwasiliana na TAMISEMI wanakwambia bado hawajaruhusiwa kutoa uhamisho na vibali.
Swali je tamko la Mei Mosi halikuwa rasmi...
Habari Jf , Naomba Niende Moja Kwa Moja Kwenye Mada, Mimi Ni Mwanaume Wa Miaka 36 Ambaye Nimesoma Mpaka Ngazi Ya Kati, Historia Ya Elimu Ni Kuwa Kidato Cha 2 Hadi 4 Nilikosa Ada Hivyo Kupata Adha Nyingi Sana, Ikiwemo Kurudishwa Nyumbani Na Kupigwa Viboko Kwa Miaka Yote Hiyo Pale Ninapoenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.