Hivi mtoto anayepata Div I ya 7 shule ya kata tunamuweka kundi gani
Tujaribu kuapreciate hata hawa watoto wa shule za kata wanaofanya vizuri
Kuna shule inaitwa Igaganulwa ipo Simiyu shule ya kata dogo kapata DIV I ya point 7
Mbona mi naona takwimu ziko sawa
Tanzania tuna mikoa mingi
Fanya tafiti zako mikoa ya tofauti na huku pwani
Utagundua takwimu hizo ni za kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili suala ni tatizo kubwa
Mi mtu wangu ni miezi mitatu kanipotezea sababu ya Simu
Masikini huyo mdada hata sikuwa na uhusiano nae lakini mwenzangu kaichukulia kivingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.