Habarini wadau, najaribu kumsaidia mdogo wangu kufanya online application kwa chuo cha Kilimo cha Sokoine, naomba msaada kwa wadau walioweza kufanya application kwa chuo cha Kilimo cha Sokoine.
Najaribu kuingia kwa user name kama walivyoelekeza namba ya mtihani wa Form Four na password...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.