Yap inatokea yupo mtu wa karibu na mimi, alianza ukichaa, wanasema ana majini lakini nilipinga apelekwe hospitali kweli kakutwa na miwaya, wanamkaba aanze kutumia dozi
kuna mtaa niliishi muda sana kabla ya kuama, nimeenda juzi madogo nikawanunulia K Vant, wakamuulize muuzaji hii ya hapo nyuma au yenyewe OG, akaambiwa OG baadae nawauliza wanasema kuna kiwanda nyuma hapo tena ndani ya nyumba wanavyatua tu gongo watu wanasema K Vant, duuuh nilichoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.