14th Jun '13 by fastjet Tanzania
fastjet has been granted permission to launch international flights from Tanzania to South Africa, Zambia and Rwanda marking a major step towards establishing the first-ever pan-African low-cost network.
Commenting on today's news, Ed Winter, CEO and Chairman...
Nimeshangaa kusikia kuna daladala ya jijini Dar eti inapakia abiria 35 - therathina na tano.... Nimeyasikia wakati zinatolewa takwimu za kutaka kutaifa Treni zinazosafirisha watu jijini.... ETI ZINASAFIRISHA watu 14,000 sawa na daladala 400; uwiano wa watu 35..... Naomba nijue hizo daladala...
Nimekutana na link hii hapa........ What's In a Cigarette, 599 Ingredients in a Cigarette
Nikaona wana JF niwatahadhalishe wote wanaojinyoga bila kujua na serikali yetu bado inaendelea kuchukua kodi.... kutokana na sumu hizi 4,000 kwa gharama ya ujinga wa watu wake!!!!
Wengine wanajitetea eti...
Tanzania tuna viongozi wa ajabu...!!!
Kova kapiga marufuku maandamano ya kupinga Dowans kulipwa 111bns.....
Eti kwa ajili ya tishio la Al Shabab...
Source Radio Wapo FM.....
Najisikia kuanza kulia.....
Tafadhali wana JF wenzangu,
Anayeweza kunifundisha kutengeneza sabuni naomba tuwasiliane haraka. Nina soko kubwa.
WADAU WENGINE WENYE KUHITAJI KUFAHAMU BIASHARA HII
MICHANGO YA WADAU MBALIMBALI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.