Na Mwandishi wetu
Serikali kupitia Wizara ya Maji imeikabidhi Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) mradi wa kusambaza maji kwa wakazi wa Wilaya ya Mwanga Same na Korogwe kwa ajili ya kuuendesha.
Serikali imefikia uamuzi wa kukabidhi mradi huo wa maji wenye jumla ya...
Fahamu mawasiliano rasmi ya Mikoa ya kihuduma Dawasa itakayosaidia urahisi wa kupokea na kushughulikia changamoto za huduma ya Maji kwa Jiji la Dar es salaam na Pwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawasiliano rasmi ya simu katika Mikoa ya kihuduma Dawasa . Wasiliana nasi kupitia mfumo rasmi wa mawasiliano huu ili uweze kuhudumiwa kwa uhakika zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fika ofisi ya dawasa iliyo karibu ukiwa na. Koi ya kitambulisho chako cha ama kura, Nida. Passport size mbili, barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa na barua ya kuomba huduma
Sent using Jamii Forums mobile app
TAARIFA KWA UMMA
KUZIMWA KWA MTAMBO WA UZALISHAJI MAJI WA RUVU JUU
17/06/2019
Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASA), inasikitika kuwatangazia wateja wake wanaopata maji kutoka mtambo wa Ruvu Juu kuwa, uzalishaji maji katika mtambo huo umesitishwa kwa muda hivyo kupelekea...
Utaratibu unaotakiwa kufuatwa ni mmiliki wa nyumba kuomba extra meter ambayo itajumuishwa kwenye mita kuu yake na ndio atakuwa anapokea bili zote extra alizoomba kupitia bili kuu yake
Jitihada zinaendelea kuhakikisha mawasiliano yanakuwepo kabla wajenzi wa barabara hawajaanza kazi ili tuwajulishe maeneo yenye miundombinu yetu kuepusha usumbufu usio wa lazima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.