- Thread starter
- #541
Jitihada zinaendelea kuhakikisha mawasiliano yanakuwepo kabla wajenzi wa barabara hawajaanza kazi ili tuwajulishe maeneo yenye miundombinu yetu kuepusha usumbufu usio wa lazimaInakuaje wajenzi wa barabara wanakata miundo mbinu yenu hamuwachukulii hatua kurejesha mapema iwezekanavyo na bado mnawapelekea madai ya malipo wateja wenu?