Mi nilichomuelewa mtoa mada kamaanisha jezi ya njano yenye michoro mingi
Lkn pia naona Yanga hio jezi hawapendelei kuivaa nafkiri Kuna Jambo wamegundua
Kilimo cha strawberry kinachangamoto Kama umenunua Miche tu na kupanda kabla hujajiridhisha kuhusu aina za mbegu na sifa zake
Mi ni mkulima pia na nilinunua mbegu ambazo ndani ya miezi 3 inatoa matunda
Na je umepanda mbegu gani? Kuna tristar pajero na Chandler
Upo mkoa gani nichek 0657 560542...
Kupotezeana muda tu bila connection hupati
Ishu ya post code ni watoto wa walimu watendaji ndugu jamaa na marafiki
Kama vp wapeni pia na nafasi hizi
Kule Tanga Jimbo la mkinga sehem inaitwa mavovo wamepeka watoto wao wamevulunda Sana kwenye ishu ya post code
Ishu sio kustawi ishu ni uzaaji
Kwa mikoa ya pwani Chandler ndo inafanya vzr kuliko pajero na Trista
Kwahio aina hii ya strawberry inazaa kwa mikoa ya pwani
Habari poleni na majukumu
Tunayo Miche bora ya strawberry aina ya Chandler
Ni hybrid ndani ya miezi 3 Inaanza kuzaa matunda
Kwa ushauri namna ya kufanya kilimo hiki pia tuchek
0769269630
Msemaji wa Simba aliulizwa Kama ikitokea mtu akigoma kotoka ili aangalie mpira mtafanyaje? Hakuwa na jibu la moja kwa moja akasema wanaweza wakafanya namna ili aangalie mpira tu bure
Sasa wanangu wa dar Kama wameskia yale mahojiano hapo wanaingia asbh hii kwenye mashindano ya quiran hlf hawatoki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.