Hello
Nimefungua chapchap account tangu 21 July 2015 kwenye tawi la Usa River Arusha, mpaka leo tarehe 27 July 2015 sijaweza kupata huduma yoyote kupitiaATM card niliyopewa, siwezi hata kutuma pesa kupitia NMB mobile isipokuwa kuangalia salio tu, siwezi kutuma pesa.
Nimefika customer care ya...
Mwisho wa mambo yote umekaribia iweni na akili mkeshe kwa maombi na dua....., kila mtu na aabudu Mungu wake kwa uaminifu wote. Mungu yule atakaye simama kutoa hukumu siku ile ya mwisho/kiyama huyo ndiye Mungu wa kweli. Hakuna dini wala imani inayomwabudu Mungu wa kweli inayoruhusu kuua wala...
Uliyetoa hii thread wewe ni mtu wa muhimu sana unafaa kuwa mshauri kwa mambo haya ya uendeshaji wa vyombo vya moto, ni moja kati ya thread zenye akili hapa kwenye jamvi, big up......saluteeeeeeeeeeeee!!!
Mkuu kaulize huko huko ulikopewa hizo receipt ili wakueleweshe vizuri kwani ni kwa nia njema ya kutaka kufahamu zaidi, vinginevyo hapa tukianza kulijadili hatutapata majibu ambayo ni guinine, otherwise itakuwa ni umbea tunafanya. Nenda kaulize hivi, vipi mmemkosea kunipa hzi receipt mbili ama ni...
Tuvute subira, days will tell but also truth will prove, lakini Kafulila kwa kazi aliyoifanya anastahili kupewa hata zaidi ya hiyo tuzo ya noble. Ni vema kila mpenda haki na maendeleo ya nchi atambue kazi iliyofanywa na huyu kijana kuwa ni ya kishujaa na kizalendo. Sasa hivi angalau kuna adabu...
Taarifa iliyotolewa hivi punde na Mwenyekiti wa bunge maalum la katiba Mb Samweli Sitta, ametangaza kamati maalum ili kwenda kuwasikiliza na kuwahoji kwa upya wajumbe wote waliopiga kura ya HAPANA katika kikao cha jana, waseme kwa nini wakapiga kura ya hapana na huku wamehudhuria vikao vyote...
Kigoma ndo kwetu, hayo yote waliyokushauri ni uongo mtupu, kigoma ya kipind kile cha nyerere siyo ya kipindi hiki. Kafanye hicho unachoenda kufanya kwa amani, zingatia sheria na kanuni za nchi, lakini pia kuna mila na desturi zetu ziheshimu na kuzifuata pale itakapobidi. Kigoma ni kati ya mikoa...
Kwa wale pia wanaopenda kujenga Ndoa zao katika misingi bora maana hapa ndipo maisha huanzia na kuimarika zaidi someni kitabu cha GOD's MASTER PLAN FOR MARRIAGE By Stephen & Georgina Adei, Ni kitabu kizuri sana hata kwa wale wanaotarajia kuingia kwenge ndoa. Nakipenda sana coz kimetujenga sana...
Hao wanaojiita akibasaccos ni matapeli wakubwa wanajiita hivyo na wakati mwingine hujiita social credit company, kuweni makini sana au kama kuna mtu aliyepata mkopo kutoka kwa hawa jamaa atupe shuhuda.
Kupenda Ngono sana ni Barabara ya kuelekea kuzimu, kila kitu lazima kiwe na kiasi, kuna mwingine akimwona mwana Ke/Me tu baasi mawazo yake ni kwenye ngono tu, na kwa namna hiyo hawezi hata kujizuia kufanya ngono, kwa lugha ya Kibiblia ni kwamba mtu kama huyo lazima atakua anafanya zinaa kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.