Zitto yanakupata kama yalivyo mpata kaka yako, Dr Amani Kabourou alikisalit chama kwa kutumiwa na ccm. Na kukimbilia huko ccm, lakini hadi Leo hasikiki tena, na alikuwa na cheo cha Makamu mwenyekiti wa CDM, had Leo hasikiki tena kwa sababu ya dhambi ya usalit ilimmaliza nawe zitto dhambi ya...
Udsm mnabebwa na historia na ukongwe lakini product zenu mbovu sana especially za ualimu ni mbovu ,maneno mengi,ubishi mwingi, mnajifanya mnajua vitu lakini Hamna lolote ,msipobadilika field mtakuwa mnafanyia chuo kwenu, maana sa izi kila sehemu hawawataki .
Usiangalie historia, hii ripoti ni mpya imetolewa February 2015,tatizo lako unaangalia rekodi ya 2013,nenda ukagoogle ,andika orodha ya vyuo bora Tanzania 2015 utapata majibu baadala ya kulalamika ,vigezo utapata na source utapata.
Udom miaka michache ijayo kitakuwa ndo chuo bora Tanzania na ulimwenguni. Japo kimepondwa sana miaka ya nyuma Kuwa ni chuo cha kata. Big up sana udom kwa mikakati yenu madhubuti ongezeni juhudi zaidi.
Kuwa karibu na ccm sio dhambi hata chembe ila kutumiwa na ccm kusaliti(au kuvuruga) chama fulani dhambi kubwa kama kula nyama ya mwanadamu ,hata kama ni vyama vya upinzani .Kinachotakiwa ni sera nzuri, sio kuua vyama vya upinzani au chama chochote .Chama kijiue chenyewe kwa Sera zake mbovu sio...
Shirika la kazi duniani linasema ,Mzimbabwe mmoja anafanya kazi ya Watanzani wanane na Mkenya mmoja anafanya KAZI ya watu wanne kwa hali hii ya series nimethibitisha ,utapata wapi muda wa kufanya kazi huku unafuatilia series.Watanzania tubadilike jamani tufanye kazi kwa bidii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.