mmmmh hapa hakuna wapinza mimi hata wakiweka jiwe ukawa nalipijia hilohilo..!? siwezi hata siku mmoja kupijia kula ccm mpaka mtako waachia dunia yenu..
mkuu anachopanga mungu kutokea hakuna anayeweza kuzuia,kama kijana alipangiwa kupata ajari basi ilikuwa ni lazima itoke tuu maana hakuna jinsi..!? hizi nyingine tunazo fanya raia mbwembwe tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.