Ni kijana mwenye umri wa miaka 26,nna elimu ya diploma ya procurement and supply chain management,npo tayar kufanya kaz yoyote mahali popote chamsingi ni mshahara wangu tu,kwa sasa napatkana dar es salaam 0786302028 nitafuten wadau
Lowassa ana sifa na vigezo vyote,muache ushabik Na akili za kushikiwa,kuhusu Richmond nan axyejua tumeingia hasara kwa ushabik wa vitu tuxvyovijua,afya ni nan amewah enda nae kupima,kajpme wewe ndpo umfuate yeye,chukua pcha alvyokua wazir mkuu,ulkondesha kwa kukutumikia Leo kapendeza...
Lowassa ana sifa na vigezo vyote,muache ushabik Na akili za kushikiwa,kuhusu Richmond nan axyejua tumeingia hasara kwa ushabik wa vitu tuxvyovijua,afya ni nan amewah enda nae kupima,kajpme wewe ndpo umfuate yeye,chukua pcha alvyokua wazir mkuu,ulkondesha kwa kukutumikia Leo kapendeza...
Upendo wake kwa tz Leo unamfanya watu wachache waxiojua nin wanamaansha au wanajua wanachokfanya kwa maslah yenu binafs,tz Hui ya sasa nan afaa kukuongoza wewe kiumbe kama c LOWASSA kama unataka tz yako ifie mikonon mwako ucmpende Huyu mzee
Watu bana,akili za kuambiwa changanya na zako,wa tz kwa ujumla tuliingia hasara kwa kushabikia mambo tucyoyajua Leo kidogo kwenye escrow tupo makn,LOWASSA angalibak madarakan had Leo hii tungalikua level nyingine kabisa
Kwa kuangalia tu na akili ulizojaliwa na muumba,nan afaa kukuongoza 2015 zaid ya mtu mwenye hekima na busara,mwenye kutunza Siri za nchi lakin pia mvumilivu,kiongoz gan ambaye jimbo lake lina maendeleo tz hii
With in 2 years kafanya mambo makubwa,lakn zlikua n plan na zlihtaj mda pia kufkiwa kwa chuki binafs,zengwe likafuata lakn mtaja juta mkimkosa kiumbe huyu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.