Kama vilabu vya msafiri pachafu mara uyu wuse uwonze ikihambule kilamwike.... Mwingine gese i komoni iyi... Mara wuse amacholo makali ga bure hela ulalevela i lipesa... Ila ngatulila uwulasi na musapulo gunya fitofu na simbilisi munono be..
Hana hela fomu hutolewa kwa wenhe hela tu hata hivo sitosahau mwaka 2020 wakati bilionea Wille sisi CCM tulivyo msakafia pamoja na hela zake tukainhiza watu ukumbini pale parokiani wakili kihwelo akamgaragaza kwa tofauti ya kura tano na yeye kihwelo akajiengua kwa maelekezo fulani chumi akapita...
Hili ni kweli hapa mafinga wamuulize kitiga yuko vizuri ila Hana hela amebaki kuwa katibu tu wa wilaya wakati ilibidi awe hata mwenyekiti wa kanda ukiwa huna hela usiende chadema
Lakini pia ukimuoa mmoja wa nakuja kwako kukaa ukoo mzima, utasikia huyu mtoto wa shangazi gwangu, Mara huyu mtoto wa binamu yangu, alafu wanajaa huku wavivu wanakula tu weusi wamenenepeana balaa
Mimi nilikitafuta kwa udi na uvumba mtu alinitumia kutoka huko dar soft copy iliishia hapo tiga kampata the barstard kuscan ndo kipengere hata sijui huwa wanascann vipi labda tuwasiliane unielekeze nikusaidie
kagame siku uje ufanye survey kijiji cha sinai kipo mufindi kuna dhahabu nyingi kwa fununu ila wataalamu hakuna kuna milima miwili naifahamu haijaguswa ila kuna kitu siwezi kusema sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.