mimi pia nipo kwenye huo mtego. maelezo yako ni kama yangu. sasa kilichonishtua ni hiyo recommendation ya invigilator, wametoa link mbili za invigilator, lakini ni the same invigilator with two different links leading to the same website. lol! that caught my attention and i was like.. naaah...
si wanasema leo ndo mwisho? asa internet cafe hapa naendaje jamani na usiku huu, yamebaki masaa tu. ninapokaa huku goba hakuna hata internet cafe inayoweza kua wazi usiku.
Tangu saa 10 najaribu kumaliza hii appeal inagoma kabisa. kipengere cha birth certificate verification kimekataa tangu juzi na namba ninazoweka ni sahihi copy and paste from rita. sijui shida nn na leo ndo mwisho few hours remained.
Heh jamani hizi ni dharau kwakweli. Yaani huyo diamond hata na mgambo wa jiji tu huwezi waweka sawa, askari wana mchango mkubwa sana ktk taifa letu especially kama hao waliopigania nchi yetu
Dogo "mbuzi Na Kuu" una presha sana mdogo wangu, mpaka unaamua kufufua nyuzi za zamani! wewe sasa huna jinsi, kasome tu hyo c.science. utaangaika kweli kudili na hawa watu
yaani huyu jamaa anaeitwa KIKOOZI mwogopeni sana, hata akireply kwenye thread yoyote msimtilie maanani. anajifanya mhitimu kidato cha sita, mara ajifanye mtu aliyemaliza chuo toka 2008 na kuwapotosha watu humu ndani, MODS TUONDOLEENI HUYU MTU
zikitokea ajira za IT, basi mwenye computer science ndiye mjuzi zaidi hivyo hupata kiurahisi compared to IT. ajira za masuala ya computer na mawasiliano ni lundo, na kwahuko tunakoelekea ni nying zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.