i like the way you argue!! Like it or not there is supernatural part of life...Science, physics and has its limits brothers,
God the author of these laws and principles is the God of supernatural(take it or leave it).. The God of natural is also the God of supernatural.
It is difficult for...
Huyu aliyetoa tamko hili hajitambui, ni mchumia tumbo tu! Kakobe alichokifanya ni kuuleza umma wa Watanzania uhalali wa Kuidai Tanganyika yao, na kwamba Katika Mpango wa Mungu Kuidai Tanganyika siyo dhambi.. ni Kibiblia Kabisa kuidai Tanganyika. Huyu aliyetoa Tamko hili ana maslahi fulani na...
Hongera washirika wa Kakobe! Mungu amewapa hiyo neema ili muwahubiri watu wote habari njema kabla ya unyakuo... Nawasihi msiache kuhubiri. Mkiacha roho za watu zitaangamia halafu mtadaiwa siku ya mwisho... Nimependa sana.
Ni halali tena sana, Mungu azidi kuwapa neema wazidi kuhubiri kweli ya Neno... Kwa upande wangu naona wanatukumbusha ili tuisikie injili... Naona Mungu amewakumbuka hata wale wasioenda kanisani, ameamua kuwafuata huko huko kwenye mabasi na mitaani. Kweli Mungu hapendi kuona yeyote akipotea.
ndugu yangu umeenda mbali sana, acha mzaha huu unaoufanya, kama ni siasa ongea siasa, acha kumdhihaki mungu. Mimi ni pro-chadema lakini siwezi kufika ulikofika ndugu yangu.
Tusiende mbali hivyo ndugu yangu. Yesu ni mwokovu wa ulimwengu, usilitaje bure tena kwa mzaha jina la mungu.
ni kweli kabisa kuwa tumekosa uzalendo, ndiyo serikali ina sehemu yake ya kufanya, lakini kwa upande mwingine sisi nasi tuna sehemu ya kufanya ili kufanikisha hili na kuona tanzania yetu inakuwa mahali pazuri katika elimu na masuala mengine. Nimependa sana comments zako.
tunahitaji watu wa jinsi hii, siyo mtu unavutia tu kwako, ilimradi uonekane uko pazuri, hatuendi hivyo. ASANTE SANA KWA KUSHAURI WADOGO ZETU. THANKS MUCH
TAARIFA KWA WAOMBAJI MIKOPO
wanafunzi hawatasoma tena kwa kukosa mikopo. iliwashinda ada ya 70,000/= wataweza haya mamilioni?
DOWANS ILIPWE MARAMOJA, TANZANIA KUNA VITUKO!!!!!!
acha makufuru kwa Muumba wako! kupanga ni kuchagua, ni ubovu tuu wa kuweka vipaumbele na kusimamia kile kilicha na umuhimu,
lakini tusifike mahali kulaumu eti kwanini nilizaliwa binadamu Tz na kusema heri ungekuwa mbwa au paka au mnyama gani ulaya.
God has a plan for you. usijishushe kiasi...
BABA Kakobe alisema wazi kuwa yeye ni mtu wa Mungu wakitubu watasamehewa na umeme utapita, ila wasipotubu watahangaika wakome,
walifikiri wanashindana na mwanadamu kumbe walikuwa wanashindana na Mungu mwenyewe,
kama wakati wa Eliya , Eliya akasema mvua haitanyesha juu ya nchi kwasababu mfalme...
hujakomaa kisiasa, ingekuwa kama Nelson Mandela Kule S.A ungevumilia miaka 27 jela? hebu kua basi/ UNAYUMBA NA MAMBO KAMA HAYA , YAKO MAKUBWA ZAIDI YANAKUJA SIJUI UTASEMAJE// ILA NENDA KWA WANA CCM WENZAKO, HUKU HUTUFAI HATA KIDOGO.
INGEKUWA UMEFUKUZWA BUNGENI KAMA ZITO KIPINDI KILE SI NDIYO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.