Habari wana Jamii Forum, naomba wenye kujua hili wanisaidie. Nimebadirisha rejeta ya gari yangu baada ya iliyokuwepo kuwa inavuja sana, niliunga sana na ikachoka kabisa, na hii niliyoweka ni mpya kabisa, lakini Cha ajabu nikiwa naenda safari ndefu kidogo mshale wa temp unashuka mpaka zero Ila...
Habari wana JF, nina MAZDA PREMACY ya 2001 shock up zake zimeisha, nipo Mbeya na nimetafuta huku hamna, nikauliza baadhi ya watu Dar nikaambiwa hazipatikani. Please naomba msaada km kuna mtu anaweza nisaidia kuzipata. Natanguliza shukrani
Habari ndugu, nipo serious kwa hili. Nahitaji mwanamke aliyekwisha zaa ili nimuoe. Watoto wasizidi wawili maana nami nina watoto wawili tayari. Please kwa aliye serious ani pm
Habari wana MMU, ni mara yangu ya kwanza kuomba ushauri hapa jf lkn kwa hili naombeni mnisaidie.
Nilikuwa na girlfriend wakati nasoma chuo na tulipendana sana, tukapoteana ktk harakati za maisha na kila mmoja akapata mwenza wa ndoa. Mwezi uliopita wa 11 nikaona call baada ya kupokea nikakuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.