Search results

  1. 3D.

    Nahitaji kupata Majarida ya "Sani"

    Bado tunasubiri mkuu!!
  2. 3D.

    Movie ya EONII hakuna kitu

    Wamejitahidi. Katika 100 nawapa 5% Filamu imejaa giza. Maongezi siyo halisia. Tupende vya kwetu. Tuambiane ukweli.
  3. 3D.

    INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    Hakuna wenye experience na hivi vifaa hasa kwa maeneo ya DSM?
  4. 3D.

    INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    Mimi pia ningependa jibu la hoja yako. Nini faida ya Air cooler ukilinganisha na mist fan? Tofauti ya kiwango cha ubaridi ikoje kati ya vitu hivyo viwili? Kama kuna watu wana uzoefu navyo watusaidie kwa ushuhuda na ushauri.
  5. 3D.

    Feni ambazo unaweka maji

    Tupeni mrejesho wadau. Joto limerudi!
  6. 3D.

    Mtei kasema UKWELI ULIOSHINDWA KUTAMKIKA, tuache unafiki!

    Mitazamo ya kidini ya akina Mzee Mtei na William Mushumbusi zinasikitisha sana. Hata kama Mtei si kiongozi wa CDM bado ana kofia ya uasisi na anawakilisha identity ya CDM. Nautazama upya uungaji mkono wangu kwa Chadema. Huenda nikatengua msimamo wangu wa ki-People's Power. Aidha sitaiunga mkono...
  7. 3D.

    Kuhusu katiba mpya

    Haule, karibu JamiiForums. Leo hii nimekereka sana na suala la udini. Mimi ni Mkatoliki lakini siko tayari hata kwa kuning'inizwa kumtazama Dr Salim kama Mwislam. Dr Salim si Mwislam, si Mzanzibari, si Mwarabu, si Mwanaume. Dr Salim ni Dr Salim. Dr Salim ana-occupy special position katika nchi...
  8. 3D.

    Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

    Kama ni kweli Mzee Mtei aliongea kauli hiya ya idadi ya Waislam basi amepotoka kweli!!! Hivi Dr Salim ana idenity ngapi? Sasa tuanze kuzungumzia pia idadi ya Wanawake. Mimi si mwanachama wa Chadema wala chama kingine chochote cha siasa. Lakini naegemea upande wa Chadema. Mzee Mtei hata kama si...
  9. 3D.

    Tume ya Katiba Mpya, yenye Mapungufu Makubwa, yasiyoonekana Makubwa

    Yericko Nyerere na wenzako ni masanamu ya Michelini.. nguo ikishonwa begani inachanika ubavuni. Yaani Dr Salim kwa sifa zote za kiuongozi na utumishi uliotukukuka kwa nchi ya Tanzania leo hii mnaanza kumtazama kwa jicho la Uislam.. kabisa jamani? Kabisa jamani? This is SHIT!! (In capital...
  10. 3D.

    Wazanzibari wataka ajira kwa Watanganyika huko Visiwani ikomeshwe; wagonga mwamba!

    Tupa Zanzibar huko. Tanganyika ndiyo nchi yangu.
  11. 3D.

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Pumzika kwa Amani Nguli Steven Kanumba. Bendera yangu nusu mlingoti siku saba 7.
  12. 3D.

    Judge Warioba ateuliwa kuwa Mwenyekiti Tume ya Katiba

    Nina imani na Jaji Warioba. Hofu yangu tu ni Tanganyika kupigwa zengwe.
  13. 3D.

    JOSHUA NASSARI: The Lord of the Rings: The Return of the King

    Ila itachukua muda kwa politics kuacha interference katika mambo ya msingi. Maybe something has to be done. Honestly, katika sinema nazofikiria kuandaa nitakuwa nachomeka vijembe kwa watu wa politics. Kuna filamu naifikiria, nitakutaarifu.
  14. 3D.

    Matusi ya Lema na Matusi ya Lusinde ni Matusi Yetu na Unafiki Wetu!

    Mimi ni Pro-CDM lakini sikubaliani na kauli za Lema. Wadau wa sheria wanasema kosa alilotiwa hatiani Lema ni "Illegal Campain" ambalo kifungu husika ni 108 na si 114 (Illegal Practice) aliyosema Jaji. CCM si bata tu bali Mabata yenye roho mbaya, mbona kesi za rushwa zinapigwa danadana? Soma...
  15. 3D.

    Matusi ya Lema na Matusi ya Lusinde ni Matusi Yetu na Unafiki Wetu!

    Ni vigumu kukubaliana kwa kila kitu, ikitokea hivyo huwa ni kwa matukio machache sana. Ulichoandika hapa ni moja ya matukio yatokeayo kwa uchache kwani nakubaliana nawe kwa ASILIMIA MIA MOJA, katika kila neno, sentensi na hata mpangilio wa kile ulichosema. WELL SAID MKUU!!
  16. 3D.

    Matusi ya Lema na Matusi ya Lusinde ni Matusi Yetu na Unafiki Wetu!

    Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa. Hata hivyo nina ushabiki mkubwa kupindukia kwa CHADEMA. Sikubaliani na matumizi ya kauli za "Mwanamke huyu si mwaminifu kwenye ndoa hivyo........" hata kama haya si matusi dhahiri. Mi namwona Lema kama mbunge mtata sana. Ukiachana na suala hili la...
  17. 3D.

    JOSHUA NASSARI: The Lord of the Rings: The Return of the King

    Director Peter Jackson alifanya kazi kubwa kweli. Nikuulize swali la kizushi, unadhani itachukua muda gani kwa sisi Watanzania kuweza kuandaa filamu yenye kiwango kama hicho?
  18. 3D.

    Bibi huyu amemla nyama mtoto

    "......................" ila tatizo sasa bibi kuzungushwa uchi, kukalishwa chini, kupigwa dah!!! "........................"!!! Basi tu!! Lakini ngoja kwanza, hivi inakuwaje aisee!!!
  19. 3D.

    >*< The BEST of Michael Jackson >*<

    Mtu asipotaja nyimbo mbili nzito za Heal the World na Will you be there huwa simwelewi kabisa. Naona "makosa" yamejirudia katika thread hii. Actually sishabikii nyimbo hizi kwa sababu ya usikikaji wake mzuri (melody) pekee bali kila neno, mstari na mtiririko wa maneno katika mashairi. Napenda...
Back
Top Bottom