Nafuu hao wanaoning'iniza funguo na magari wameacha home kuna wengine wanafunguo za gari kumbe hata hiyo gari yenyewe hana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Jamani wana jf niko nairobi kenya nilikuja kimatibabu sasa passport yangu ya muda imeisha na sifahamu nianzie wapi ubalozini penyewe nimegoole nimeona mtaa ulipo ila sipafahamu na Weekend hawafanyi kazi swali langu sasa wadau ni kwamba tofauti na ubalozini sehemu gani nyingine naweza kuongezewa...
Jamani wana jamiiforum wenzangu nauliza kwamba kuna mtu ameishawahi kusaidika na dawa ya mzizimkavu ya low sperm count,imenichukua muda mrefu kupata kababy ka pili inabidi twende kupima na tumepima takribani mara mbili majibu yakawa yaleyale dokta amesema huenda ni pombe Kali ninazopiga kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.