Jamani wana jamiiforum wenzangu nauliza kwamba kuna mtu ameishawahi kusaidika na dawa ya mzizimkavu ya low sperm count,imenichukua muda mrefu kupata kababy ka pili inabidi twende kupima na tumepima takribani mara mbili majibu yakawa yaleyale dokta amesema huenda ni pombe Kali ninazopiga kwa kweli makali napiga sana, msaada wenu wanajf ushuhuda wenu unahitajika kabla sijafanya mchakato wa kumtafuta mzizimkavu.