Search results

  1. sam wilfred

    Nina mwaka wa 4 tangu nipige stop TV nyumbani kwangu

    Mtoto hafugiki kama mnyama mzee ni kiumbe mwenye Utashi. Uki mnyima asiangalie Tv kwako ataangalia kwa Jirani kama sio vibandani. Unapoteza nguvu zako bure
  2. sam wilfred

    Msaada: Jinsi ya kuipata iPhone 12 pro max imeibiwa

    Pole sana mimi waliondoka na iphone pamoja na Mac nikaenda osterbay ila hakuna nilicho ambulia zaidi ya kuvisamehe tu
  3. sam wilfred

    Samsung A-series za 2019 naona kama zishaanza kuwa yeboyebo

    Nilikuwa na kiherehere cha kununua A30 zilivyotoka tu hela ndefu. Ila laiti ningejua zingekuja kutoka nyingi hivi na kwa bei rahisi mara 10 ningenunua Tecno nitulie tu. Kiufupi inapoelekea kwa style hii Samsung wataipoteza brand yao kizembe
  4. sam wilfred

    Prison Break vs Money Heist

    Prison break ni kitu kingine aise pale akili ilitumika. Money heist kuna muda story zinakuwa nyingi nakupoteza uzuri wake.
  5. sam wilfred

    Window laptops Vs Macbook laptops

    Duh hii kitu hatari umenifungua mawazo aise shukran
  6. sam wilfred

    Window laptops Vs Macbook laptops

    Issues nzima za designing, editing pamoja na graphics na mostly huwa natumia Adobe Master collection na kazi zangu nyingi natumia adobe illustrator, adobe photoshop, Adobe premier pro, pamoja na adobe after effect.
  7. sam wilfred

    Window laptops Vs Macbook laptops

    Chief-Mkwawa, Unadhani sasa ni pc gani iko vizuri zaidi kati ya dell Hp Acer na nyinginezo
  8. sam wilfred

    Window laptops Vs Macbook laptops

    Uchaguzi wa laptop nzuri ni miungoni swala moja wapo muhimu sana hususani kwa graphics designers pamoja na sounds producers bila kuwasahau watu wa maswala ya IT. Sasa kama graphics designer nimekuwa na wakati mgumu hususani katika uchaguzi wa laptops nzuri kwa maswala ya designing kati ya...
  9. sam wilfred

    Ivi serikali ipo wapi katika kulitazama hili

    Ivi hizi halmashauri na serikali za mitaa lakini pia taasisi mbalimbali zikiwemo za mazingira na afya zipo wapi katika kuangalia swala hili la masoko kufanyika kwenye mitaa ya wananchi. Hii hali ishakuwa kero sana hapa buguruni. Mtaa unafurika matenga masaa 24 hamuoni kama mna hatarisha maisha...
Back
Top Bottom