without any prejudice...Mwakyembe ni jembe...tungekuwa nao kumi hivi ndani ya baraza+magufuli+prof.Tiba+...rushwa isingetusumbua hivi... umasikini ungepungua sana..n.k n.k n.k
Ndugu wadau JF:
Kuna tetesi nimezisikia mitaani katika pitapita zangu kuwa kuna kigogo mmoja ambaye kila consignment yake ya mafuta inapowasili nchini bei za mafuta hupanda immediately...lakini kila inapoisha huwa zinashuka ghafla... How true is this? ...Wanaojua watuze.
Shukrani....
Wakuu: Msichanganye mambo hapa jamvini. Issue sio kufanya kazi Oman wala kuwa na ndugu uarabuni.....Tatizo hapa ni mambo anayofanya, enayoeneza kwa jamii....yapo ki..alqaeda....ki ...el shabab zaidi...what a pity... mmnaomtetea...
Waheshimiwa sio kwamba amewapeleka ulaya tuu.... hapa UDSM amemwaga vijana kama 150 hvii kuanzia BA., M.A mapaka PhD courses aina mbali mbali. Pia naona Mozambique na Angola nao wameamua kumwaga vijana wao kibao. Nadhani na sisi ingebidi tuchukue mkondo huo kwa kuwapeleka huko china na US kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.