Hala hala mkuu, usijejikuta actually mpumnavu ni wewe.
Hapo ulipo najua hata upau huna mfukoni, unaishi mbavu za mbwa, unashindia chipsi dume, ukiumwa unaenda kwa mganga wa kienyeji, kupanda ndege kwako ndoto!
Sasa mpumbavu nani hapo, jipime!
Tunataka uwe kama sisi, wewe endelea wa wapumbavu...
Hiyo ndio mindset ya waafrika.
Vocabulary ya maintainance haimo akilini kabisa.
Majengo yaliyojengwa na warumi, kwa wenzetu mengine bado yapo, over 2000yrs ago!
Diwani mstaafu wa Kiromo anayeitwa Hassan Wembe, ambaye hana historia nzuri sana, amefanya jaribio la kihuni na kuudhi kwa kumzushia tuhuma za uongo aliyekuwa waziri Awamu ya Nne, mh. Shukuru Kawambwa.
Clip iliyorushwa mitandsoni na kusambaa kama moto wa nyika, ilikuwa ikimtuhumu ati Kawambwa...
Nyie ndio vichawa uchwara!
Unamshukuru Chalamila na Rais leo wakati maendeleo ya Dar ni toka 1890s?
Hata baba yake mama na babu yake Chalamila hawajazaliwa!
Nyie ndo mkipona ajali mnamshukuru mama kwa kupata majeraha kiduchu!
Makonda kaitwa, kaitikia!
Tarehe 12 April Makonda alisikika na kuutangazia umma, mbele ya Rais Sami, alisema:
" Nawajua kwa majina na leo tarehe 12 April, nataka iwe mwisho kuwatukana watu kwenye mitandao ya kijamii kumtukana Rais Samia na jumatatu ,tarehe 15, ikiendelea, nataja majina, wengine...
Majuzi Mama Samia kamsifia Makonda hadharani.
Haijapita hata wiki Makonda huyo huyo anamdhalilisha mama Samia na serikali yake.
Ni vema mama Samia akasikia ushauri, hata wa mitandaoni, Makonda hafai!
Madudu ya Makonda yanampaka matope Mama Samia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.