Huku ndo mnakuja kupozea machungu yenu?.
Mimi nimekaa pembeni nikisubiri msimu ujao nione akina Mangungu watakuja na maigizo/vyuma gani ndo nirejeshe ile ari ya juu ya kuishangilia/kuizodoa Simba yetu.
Salary slip kwangu zinafunguka tu kwenye mfumo wa salary slip portal, ila huku kwenye ess sijawahi fungua ikakubali.
Nimeshajaribu mara nyingi tangu huko nyuma ila sijawahi fanikiwa.
Mbona salary slip kwenye ess baada ya view kukamilika, ikija open kitufe chake ukikibofya haifunguki?, inatakiwa nifanyeje ili niweze ku-open salary slip kwenye ess?
Ndugu ktk imani lakini bado hawana undugu kivitendo, nitashangaa akilaumiwa USA na washirika wake kuwa wamesababisha kusiwepo na mechi.
cc
Maghayo
MK254
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.