Mimi nitofauti kidogo, nikitoka job lazima nifike home kwanza niwasalimie watoto alaf ndo misele ianze. Jitahidi sana ktk maisha yako watoto wakuone mara kwa mara itawasaidia na kuwa guide kwa kiasi fulani wasiwe wakorofi/watundu sana sbb wanajua daddy is always around. Lkn pia itakupunguzia ww...
Kama kweli ulitumia mifuko 20 ya simenti kwa eneo la 14 X 12.5m X 2" basi ndo maana mimi uwa sipati kazi za watu binafsi kirahisi na kimsingi uwa sihangaiki kuzitafuta ntapambana na hizi hiz za serikali. Nyumba zetu zinachoka mapema sana sbb ratio hiyo ni dhaifu sana kwangu kwa uchache...
Hakikisha una nunua vifaranga kutoka makampuni makubwa. Tulinunua kwny kampuni ya kichina kuku walikua vzr na kuanza kutaga vzr but tulipofika trei 38 per day ghafla ikashuka mpaka 28.
Tulipofatilia kumbe ni marek's. so tukashauriwa tule kuku wote almost 2,000 coz not bad 4human.
Bahati mbaya...
Hivi ni afazali au afadhali? uzi wangu umeunganishwa maana hata sijui nilikua nawaza nn mpaka nika anzisha uzi yanga 3 mamelod0!!! Japo mimi ni Simba damu lkn nilikua na imani tangu mwanzo yanga 3 mamelod 0.
Nenda ifunda-Iringa, utapata ardhi unayotaka, mvua za uhakika na hata ukitaka mashamba yenye vyanzo vya maji utapata. Naishi Arusha ila ntakwenda huko tarehe 12 au 13 au 14 mwezi wa 4 nina shamba huko. Kama upo interested twende ukatembee upaone na ntakulink na wazoefu zaidi ya maeneo hayo. BUT...
Nakubaliana na ww kwa asilimia kadhaa tu, ila ukweli HELA SIO suluhisho la kila jambo. Hiyo mifano niliyotoa hapo juu shida haikua pesa bali ni issue ya utu, ubinadamu, upndo, ukaribu watu wanataka uwepo wako etc etc ambavyo havijengwi ktk misingi ya pesa.
Wkt naanza maisha ya kujitegemea nilikutana na mzungu wa kike, ktk story ikaja issue ya idadi ya watoto wangapi ni nzuri kua nayo. Kwa haraka sana alipinga kua na mtoto mmoja na akatolea maelezo.
Kwao kazaliwa peke yake na wazazi wake ni wazee. Kuna siku baba yake aliugua sana na kulazwa...
Kwanza hongera kwa kutoa ajira kwa sisi waTanzania wenzako bila shaka. Na mimi nadhan very soon naelekea huko huko ila nakushauri tafuta japo mwenye certificate ya kilimo atakusaidia sana learning curve ya mtu ambae hajasoma ni ngumu na itakuchelewesha sana. Amini kwa terms hizo hizo utapata mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.