Watawala wote waliotawala mda mrefu wanawajua wanachi wake,pia watawala wajanja wamekeweza kwenye kuwapumbaza.
Watawala wametembea,wanajua vitu vingi kuhusu nchi na siasa za sehemu mbalimbali. Ujuzi huo unawafanya wawe hodari kwenye kutumia kuawatawala wanachi wa eneo lake.
Watawala wa eneo...
This! Kubaki kua maskini,kua na elimu duni,kuhoji vitu na kushambikia vitu rahisi kama Mpira ni mradi mkubwa wa wanasiasa. Ujinga ni mtaji na ndio hivo wanavotaka,hawataki mpate vyote vya uhakika sababu mtawasumbua. Maskini ukimpa kila kitu au uhuru anakuja msumbufu Bora umuache na umbabaishe na...
We don't negotiate with terrorists,serikali isilipe hiyo pesa maana ni kuwapa ushindi. Bora tutumie billion 10 kumuokoa Kwa njia nyengine kuliko kuwalipa hao watekaji pesa,watazoea.
Dunia inarahisisha mambo!
Sasa unaweza pika chakula chochote Kwa haraka na gharama nafuu sana kuitumia pressure cooker ya kisasa.
Pika Maharage, mboga na nyama aina zote Kwa haraka na gharama nafuu sana.
Ni rahisi kutumia na salama zaidi.
Bei ni 95,000Tsh
Call 0788622610
Tupo Aggrey/Ndanda...
Wahindi,waarabu,waajemi wapo Nchi hii Toka mwaka 1500 huko. Hata ukiwachukia utatumia mwenyewe tu. Laiti hizi minority society wangekua wanapewa nafasi kwenye uongozi naamini tungeendelea sana. Sasa mtu mweusi anajifanya mzalendo na kwenye Nchi wakti raia wake wanakufa njaa.
Waache wafanye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.