epuka kuwa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa yao...Tafadhali kufa na hiyo siri maana huyo mama ameshajifunza na ninaamini hatathubutu kurudia na atakuheshimu milele.
Ni kutokana na kuporomoka kwa maadili, ndo maana inafikia kuwa kwa sasa mambo ya kuzaa kabla ya ndoa ni kama jambo la kawaida. Cha msingi tu hapa ni kukubaliana na hali halisi na kutouficha ukweli. Personally Sioni mbaya kumweleza akupendaye kama unaye mtoto. Unajua nini? Ukianza tu kumficha...
Inawezekana amekuona huna nia njema na yeye ndo maana ameona ale chake aende zake, cku ukichoka wala hatalaumu. Maana ninavyojua mie na uelewa wangu mdogo, mapenzi sio biashara. kwani yeye hana shughuli inayomuingizia kipato hadi wewe uprovide kila kitu? maana hata kama hana shughuli, ni bora...
jamani pole sana, mambo ya uhusiano sometimes ni magumu na yana complications nyingi. Cha msingi usikilize moyo wako wewe uamue. Iwapo utaamua kuendelea naye ipo tu siku mzee ataelewa kwani mapenzi ukihusisha na utajiri haviendi. Iwapo utaamua kutoendelea naye, mueleze ukweli kabisa bado mapema...
Amin. Kwani zamani hukuwa hivi? umepata maombi hadi ukabadilika kaka? ama mtakatifu kakushukia ghafla? i buy you, good advice kwa wote wenye tabia hiyo na waliokuwa wanafikiria kuwa hivyo.
Ina maana umekutwa nawe? hata hivyo kwa ushauri wangu mimi, usimuache ila jaribu kwanza kukaa naye mzungumze kwa upole na utulivu ili akueleze ni kwa nn huwa anaona wewe ni mwanaume suruali? maana kama kumwacha why ss ivi na tabia hiyo haijaanza leo ya kuitwa hivyo. You know what! labda kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.