Mimi nimeomba statement wamesema wanacharge value retention fee ya 6% annually na penalty. Tatizo sikumbuki kama Mkataba unakipengele cha hiyo retention fee. Mnaweza nisaidia kwa hili maana deni unakuta ni 11M lakini ukiongeza hii fee inakuwa 16M
Natafuta mtu yeyote ambaye ni dereva mzur ambaye anasafiri kwenda Tabora kati ya kesho kutwa na J5. Nina gari lakini sio dereva mzur hivyo natafuta dereva anayesafiri kwenda Tabora. Mimi nagharimia mafuta na ofcoz gar ni yangu yeye atasave nauli lakin pia atakuwa dereva wetu.
Kama upo npm
Nashukuru kwa wote mliochangia mada hii nimechat na Onecmo na maelezo yake yanaoana na historia yote nilokuwa nayo na hivyo nashukuru nimempata mzee niliyekuwa na mtafuta nashukuruni sana. Kwahiyo japo sifungi mjadala lakini naamini msako wangu umefika tamati na mengine yatakayoendelea hayawezi...
Asanteni kwa kujali wakuu na naendelea kufanya private correspondence na Osaka naamini atanisaidia. Nikifanikiwa ntarudisha mrejesho na nisipofanikiwa vile vile ntarudisha mrejesho.
Binafsi namwelewa maana biashara kubwa zinahitaji good name na good reputation sasa kwa yote yanayoongelewa yanamharibia kibiashara nakifamilia, Tanzania hasa kipindi hiki cha Maghufuri tusipokuwa makini tutakuwa victimised. Na inaonekana tender ilitangazwa na alishinda na kama kuna udanganyifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.