Hakuna mtu unaweza anayemua mtu mwingine, ajali ni ajali tu na ikitokea hata mshutoko tu unaweza kukuondoa. Mungu pia hadhihakiwi. Na usihukumu mtu kwa usilolijua. Binadamu sisi hatuna haki ya kuhukumu wenzetu ila Mungu peke yake. Mwamcheni Mungu aitwe Mungu. RIP Mtikilila
Hii yote ni tamaa ya kushika dola. Kama umeshindwa mara tano, kwa nini usiwachie wengine?. Waliungana, inakuaje wagomabne kabl ya mwisho wa safari? Kuna Kitu. Tuwe makini na wanasiasa.
Hivi nani sio mwizi Tanzania? Watanzania wote ni wezi, yeyote atakayechaguliwa ni mwizi, kama wezi lazima tuwe na kiongozi wether EL or any other. Hivi wewe na umaskini huu unafikiri kuna mtu anatakwenda Magogoni kwenda kundeleza umaskini?. Lazima akwapue kwanza chake akishashiba ndio...
Askari wetu hawana wapoteza maadili ya kazi, nguvu nyingi kuahangaika na Gwajima anyejihubiria apate sadaka yake na oponye wagoanjwa wake, wanaach kupambana namajambazi wanaochinja na kunyang'ganya sila kila kukicha. Tafuteni majambazi acheni wapigiga debe wa kidini.
Kidini zote hazikubaliki, lakini kwa sababu tuna vichwa vigumu na tunashindwa kushinda tamaa zetu bora malaya, ila tatizo miwaya, na kondom husiikii utamu. We acha tu.
Mkiambiwa tumieni wataaalam kujenga hamtaki, mkiambia mnasema gharama kubwa, matokeo yake mnaajiri mafundi feki mtaani wanaishia kunywa cement na nondo site, mnawaacha mainginia wenye ujuzi wanamangamanga mtaaani. Ona sasa matakeo yake. Engineer,s acheni pia kuuza majina yenu kwenye mabango...
Nimesoma, nikasikitika, wengi wanasema angekimbilia ubalozini, hela ya ufadhili, hati za kusafiria umenyang'nywa, china ni kubwa sana kutoka jimbo moja hadi jingine mabali sana, na ubalzi haupo katika kila jimbo. Swala kubwa wadanganyika tuache umbumbu, akili zetu zifanye kazi. Kama kutoka...
Sawa ameung'oa, nitatulia nyumbani, Je yeye atahudumiwa nani nyumbani akihitaji?. Hizo ni hazira tuu za wakati huo lakini ninaamini kuwa ataijutia baada ya muda mfupi.
Katika kizasi cha leo, hakuna mapenzi wala mahusiano, swala kubwa ni pochi tuu, una burungutu wapenzi wanakuwa wengi na utapata huduma uitakayo. Hakuna pes hakuna mapenzi wala mahusiano.
Katika kizasi cha leo, hakuna mapenzi wala mahusiano, swala kubwa ni pochi tuu, una burungutu wapenzi wanakuwa wengi na utapata huduma itakayo. Hakuna pes hakuna mapenzi wala mahusiano.
Hayo yoote ni matumizi mabaya ya technologia, unajua mtu akiwa na kamaera atajaribu kujipa ili ajione yukoje, mwisho wake anamua kmtumia mwenzi wake mwisho kabisaaa mwezi wake antuma kwa marafki zake wa karibu nk. nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.