We kama ni mcha Mungu kweli inakuwaje anashinda mitandaoni kusimanga watu kama Harmonize? Kama Anaona amemkosea Mungu iweje yeye ashikie bango kesi ya Mungu na Harmonize kiasi cha kusema wamfanyie ushirikina wa Albadir?? Yeye ana utakatifu gani? Na unaposema akifa hamtamzika, kwani usupomzika...
Haya mambo yapo serikali karibu zote duniani, na hao wapinzani nchi NYINGINEZO waliopata kuchukua madaraka, wanafanya hayo hayo, na zaidi ya hayo. Na pia wapinzani wanakuwepo kila nchi, nyie hakuna jipya chini ya jua ambalo Mbowe na Lissu wanawezaleta nchi hii zaidi ya kuja kuiba tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.