Huyu Anayejita Dr Sule ushekhe wake una walakini

Huyu Anayejita Dr Sule ushekhe wake una walakini

Ghosryder

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
10,707
Reaction score
4,578
We kama ni mcha Mungu kweli inakuwaje anashinda mitandaoni kusimanga watu kama Harmonize? Kama Anaona amemkosea Mungu iweje yeye ashikie bango kesi ya Mungu na Harmonize kiasi cha kusema wamfanyie ushirikina wa Albadir?? Yeye ana utakatifu gani? Na unaposema akifa hamtamzika, kwani usupomzika wewe unampunguzia nini ? Na hao mliowazika kwa dua nyingi mna uhakika wameenda peponi? Na kama wewe ni mtu wa Mungu unaonaje kumlingania imani kwa hekima? Hivi ndio mnafanya waislam waonekane wachawi na washirikina, hebu ishi Maisha yako achana na dogo, By the way, unaweza kutuambia hiyo Jinsia ya Mungu kama ni ipi?? Acha hizo
 
We kama ni mcha Mungu kweli inakuwaje anashinda mitandaoni kusimanga watu kama Harmonize? Kama Anaona amemkosea Mungu iweje yeye ashikie bango kesi ya Mungu na Harmonize kiasi cha kusema wamfanyie ushirikina wa Albadir?? Yeye ana utakatifu gani? Na unaposema akifa hamtamzika, kwani usupomzika wewe unampunguzia nini ? Na hao mliowazika kwa dua nyingi mna uhakika wameenda peponi? Na kama wewe ni mtu wa Mungu unaonaje kumlingania imani kwa hekima? Hivi ndio mnafanya waislam waonekane wachawi na washirikina, hebu ishi Maisha yako achana na dogo, By the way, unaweza kutuambia hiyo Jinsia ya Mungu kama ni ipi?? Acha hizo
Huyo jamaa namfahamu

Ana matatzo ya afya ya akili yaliyo sababishwa na imani ya kiislamu.

Imani ni shambulio la akili.
 
We kama ni mcha Mungu kweli inakuwaje anashinda mitandaoni kusimanga watu kama Harmonize? Kama Anaona amemkosea Mungu iweje yeye ashikie bango kesi ya Mungu na Harmonize kiasi cha kusema wamfanyie ushirikina wa Albadir?? Yeye ana utakatifu gani? Na unaposema akifa hamtamzika, kwani usupomzika wewe unampunguzia nini ? Na hao mliowazika kwa dua nyingi mna uhakika wameenda peponi? Na kama wewe ni mtu wa Mungu unaonaje kumlingania imani kwa hekima? Hivi ndio mnafanya waislam waonekane wachawi na washirikina, hebu ishi Maisha yako achana na dogo, By the way, unaweza kutuambia hiyo Jinsia ya Mungu kama ni ipi?? Acha hizo
kwani mkuu hujui hao jamaa ndo wanamtetea Mungu wao, badala Mungu awatetee wao
usishtuke
 
Huyo jamaa namfahamu

Ana matatzo ya afya ya akili yaliyo sababishwa na imani ya kiislamu.

Imani ni shambulio la akili.
Nakajua, kalianzaga na akina Mazinge kutukana wakristo miaka ya nyuma, hajitambui
 
Huyo Dr Sulle ni wale waislamu wenye imani kali ambao ukichanganya anakuchinja kabisa. Sio mtu mzuri
 
Nakajua, kalianzaga na akina Mazinge kutukana wakristo miaka ya nyuma, hajitambui
NI lini waikiristo walitukanwa na kina mazinge au kuambiwa yesu sio mungu ndio kutukanwa ?yeye mazinge akasema sio anatoa maandiko na wewe unasema ndio unatoa ushahidi wa maandiko matusi yapo wapi
 
NI lini waikiristo walitukanwa na kina mazinge au kuambiwa yesu sio mungu ndio kutukanwa ?yeye mazinge akasema sio anatoa maandiko na wewe unasema ndio unatoa ushahidi wa maandiko matusi yapo wapi
Allah sio Mungu
 
Anachofanya sule kimetukuka mbele ya macho ya Allah wake na waislam wenzake,jukumu la kuupigania uislam,Quran,waislam,Allah,liko mikononi mwa waislam wenyewe.

USitegemee akaonekana anakosea mbele ya macho ya waislam.
 
kwani mkuu hujui hao jamaa ndo wanamtetea Mungu wao, badala Mungu awatetee wao
usishtuke
Wengine wanamtolea sadaka za hela Mungu wao,Hana hata mia, badala Mungu wao awape, wanamtolea sadaka za kuteketeza,anapenda nyama choma,huko aliko Hana mbuzi
 
NI lini waikiristo walitukanwa na kina mazinge au kuambiwa yesu sio mungu ndio kutukanwa ?yeye mazinge akasema sio anatoa maandiko na wewe unasema ndio unatoa ushahidi wa maandiko matusi yapo wapi
Simama usema Allah sio Mungu uone nini kitakukuta.ushahidi wa maandiko upo.
 
Hii mada itaenda kule kule..,😔😔😔

Kwa kuwa tunashindwa kujihimili kwenye imani zetu, tutawezaje kuhimili Imani zenye maoni tofauti na zetu???

Hapa watu watatukana dini za wengine wakati wao wenyewe kwa mujibu wa dini zao, ni wapotovu.

Kama dini yako inakukataa (Kwa mujibu wa vitabu vyako) unapata wapi ujasiri wa kushambulia dini za wengine...???
 
Sio huyo shekh wapo watu wengi naelezea .

Kuna utofauti wa faith na beliefs.

Faith ni imani na imani huwa inashikiliwa na Akili hivyo MTU mwenye faith huwa anakuaga open minded hupenda kujifunza sehemu mbalimbali mambo tofauti na huwa sio MTU wa kuhukumu.

Ila kuna beliefs.- kuamini sasa hii ndo wanayo watu wa dini beliefs huwa inaishikilia Akili na kusababisha akili kujifunga na kufanya akili isiwe logically.


Nimejaribu kuelezea haya mambo Kati ya Faith na beliefs ,

Kwa kuongezea beliefs huwa inakuwa na Ego ndani yake ndo pale unawaona watu umu JF wakiusema uislamu au ukiristo wanakuwa wakali wote hawa hawana faith Ila wana beliefs
 
Back
Top Bottom