Habari wana jamvi naomba msaada wenu/ushauri kwa mtu ambaye amewahi / antumia hizi smart phone kati ya HTC na 4n ipi ambayo iko vizur zaid kwenye access ya net hasa sehemu zenye low internet access. ntashukuru sana kma ushaur wenu utakuwa mambo mengine ya ziada kama uimara na mengineyo! karibuni.
Jukwaa la Mabadiriko ya Vijna Tanzania, wamenyimwa kibali na office ya mkuu wa wilaya ya ulanga mkoani morogoro cha kufanya utafiti unaohusiana na kuigawa wilaya hiyo katika wilaya mbili. Kati ya tarehe 7 na 8 julai 2014 uongozi wa jukwaa hilo ulipeleka barua ya kuomba kibali katika ofisi ya...
Binti alikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na mme wa mtu, penzi limenoga kiasi cha kila mmoja wao kufahamu mambo ya mwenzake kiundani, mke wa jamaa akafahamu mchezo akampandia yule dada, dada wa watu akaona imekaa vibaya akamuomba jamaa waachane asimwalibie ndoa yake, jamaa akagoma yakabaki...
Nina rafiki yang 1 alikuwa na mpenzi wake alidumu naye takriban miaka 2, jamaa alimpenda sana demu udhaif alioutumia demu kumnyanyasa jamaa kimapenz kwa kuwa na mchepuko, jmaa aliteseka sana na kwakuwa alompenda demu alivumilia ikafikia hatua jamaa akataka kuwafumania awafanye mbaya.Nilimshauri...
Tarehe 18.06.2014 majira ya saa 4 asubuhi John Patrick Kimath 33yrs mzaliwa wa Moshi alitiwa mikononi mwa sheria baada ya kujihusisha na utapeli kwa kujiita afisa usalama, mkuu wa polisi wa Ulanga, afisa wa takukuru, afisa wa TRA na mwanajeshi.
John alitumia nyadhifa kwa nyakati tofauti tofauti...
Mwaka 2012 march nilihamishwa kikazi kutoka Dsm na kuletwa moja ya wilaya za mkoa wa morogoro, muda huo mke wangu alikuwa nyumbani mwanza.
Katika pitapita zangu nikapata totozi la kipigoro ndo kwanza alikuwa kamaliza chuo (assistant clinical oficer) lugha zikaendana lakini kila mtu akawa wazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.