no hata mimi napigiwa sana na namba hiyo lakini mbona naona kama namba ya airtel si wewe tu karibu watu wengi wanapigiwa ila ukipiga wewe huwa haipatikani
Siku alipokuwa mkali na simu siku hizo ndo nilianza kuchakachua simu kama wangu wa ndoa kwa nini afiche simu mara atoe mtetemo mara afunike thimu mara mda mwingi mfukoni hapo ikabidi tuweke mezani wote makubaliano na viapo vya ndoa mwili mmoja kilichokua chake ni changu chanbgu chake no...
Mhh pole labda akupendi haahaha ukute anafanya hivyo kupotezea game ujue mtu ukiwa hupendii sanaa hata akikugusa hufeel yan unampenda hata akikugusa begba unhisi mguso sembuse gemu angalia ndoa lazima uhakikishe hilo kwanzaa ndoa si mchezo wengi wao wanawake wanaolwaga kuondoa mikosi hahahah...
Huo mpango wa nje haswa ndo huwa chanzo cha ndoa kuharibika si mwanamke si mwanaume zamani wababu zetu wlikuwa wanaheshimu ndoa zasiku hizi kuna tabia za kuvumiliana katika ndoa ila si mpango wa nje kuna gojwa sasa nani anataka mwache aende akapange vizuri mipango ya nje vizuri
mhh hapa tz ukifanya vizuri unaonekana mbaya kweli ukila kimya kimya kifisadi basi watu unafanya kazi kweli aisee tabu kweli niliposikis magufuri kaenda huko niikajua kule tanlods Mrema kwisha kazi na kumuondoa mrema kwangu ni big up magufuri manake kulikuwa kunanuka uvundo na chapili kama...
mhh hapa tz ukifanya vizuri unaonekana mbaya kweli ukila kimya kimya kifisadi basi watu unafanya kazi kweli aisee tabu kweli niliposikis magufuri kaenda huko niikajua kule tanlods Mrema kwisha kazi na kumuondoa mrema kwangu ni big up magufuri manake kulikuwa kunanuka uvundo na chapili kama...
Mhh hakiwezi kikakubalika kila kitu anachofanya magufuri kumbuka yule ni binadamu kama wewe vile hatuna viongozi wengiwazuri safiiiiiiiii kivile kama uonavyo malaika ila ukweli magufuri anajitaidi pita wizara zote alizopita zile rushwa rushwa zinakuwa zinakoma na watu wengi akishafika...
Na hisi na wewe ni wale fungu la kumi magufuri yukoo poaaa sana ndo mana watanzania wengi wanamkubali hizo nyumba wakubwa walimfanyia fitina kumbuka sehemu zote anazopita watu wanaogopa coz wabong tunapendwa kuongwa sana ukweli kwa tz sina wasiwaisana na magufuri na hamu kuona wachina...
i see jaman du nilkuwa nawish magufuri apewe japo wizara nyeti kama madini vile mkwele naye sasa magufuri na mwakyembe sahani moja sijui itakuwa vipi hapo
Chadema wataka matokeo ya ubungo yatangazwe haraka kabla yajachakachuliwa kuna vuruguzimetokea hapa naona mabomu ya machozi naskali kibao wametandazwa kila konaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.