Search results

  1. D

    Nikipiga kimoja tu nasinzia

    aisee wengi wao wako hivyo kwa wake zao ila kwa vinchechede vyao utakuta akifiklia chpsi zake lazima aende mara 3
  2. D

    Aunty Ezekiel atia kinyaa kwa kuvaa nusu uchi Kigali-Rwanda

    Ndo tatizo la wakina mwafilombe wakisha pata umaharufu kidogo wenda hii post kaposti mwenyewe aone wagtu wamchangiaje coz misifa yuleee
  3. D

    Wewe ni mvulana wangu wa pili

    mhh Makubwa!
  4. D

    No +255068410070 ????

    no hata mimi napigiwa sana na namba hiyo lakini mbona naona kama namba ya airtel si wewe tu karibu watu wengi wanapigiwa ila ukipiga wewe huwa haipatikani
  5. D

    Mtoto apewe last name gani

    ningekuwa mimi ningemwita MOREEN*PETRINA PETER
  6. D

    simu ya mkononi

    Siku alipokuwa mkali na simu siku hizo ndo nilianza kuchakachua simu kama wangu wa ndoa kwa nini afiche simu mara atoe mtetemo mara afunike thimu mara mda mwingi mfukoni hapo ikabidi tuweke mezani wote makubaliano na viapo vya ndoa mwili mmoja kilichokua chake ni changu chanbgu chake no...
  7. D

    Sipati unyumba hadi alewe chakari

    Mhh pole labda akupendi haahaha ukute anafanya hivyo kupotezea game ujue mtu ukiwa hupendii sanaa hata akikugusa hufeel yan unampenda hata akikugusa begba unhisi mguso sembuse gemu angalia ndoa lazima uhakikishe hilo kwanzaa ndoa si mchezo wengi wao wanawake wanaolwaga kuondoa mikosi hahahah...
  8. D

    Marital "Walk-out"

    Huo mpango wa nje haswa ndo huwa chanzo cha ndoa kuharibika si mwanamke si mwanaume zamani wababu zetu wlikuwa wanaheshimu ndoa zasiku hizi kuna tabia za kuvumiliana katika ndoa ila si mpango wa nje kuna gojwa sasa nani anataka mwache aende akapange vizuri mipango ya nje vizuri
  9. D

    Wanaopajua dodoma mniambie.

    Kuna area d Pale akwa komu kuna upepeo MURWA UKIla nyamaa mbuzi nyuma yake kuna hostel za cbe unavuta na totoz wa kujisevia
  10. D

    Wanaopajua dodoma mniambie.

    [ aiseewekiboko huhuhuhuh
  11. D

    Chadema na uchaga

    Najuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuta kupoteza kura yangu kwa chama cha migogoro kilasik u thaa tha thijui niende wapi
  12. D

    Magufuli aanza kazi J2 kwa vitisho......Kweli aanza vibaya......

    mhh hapa tz ukifanya vizuri unaonekana mbaya kweli ukila kimya kimya kifisadi basi watu unafanya kazi kweli aisee tabu kweli niliposikis magufuri kaenda huko niikajua kule tanlods Mrema kwisha kazi na kumuondoa mrema kwangu ni big up magufuri manake kulikuwa kunanuka uvundo na chapili kama...
  13. D

    Magufuli aanza kazi J2 kwa vitisho......Kweli aanza vibaya......

    mhh hapa tz ukifanya vizuri unaonekana mbaya kweli ukila kimya kimya kifisadi basi watu unafanya kazi kweli aisee tabu kweli niliposikis magufuri kaenda huko niikajua kule tanlods Mrema kwisha kazi na kumuondoa mrema kwangu ni big up magufuri manake kulikuwa kunanuka uvundo na chapili kama...
  14. D

    Angalizo muhimu kuhusu uteuzi wa Dr. Magufuli wizara ya ujenzi

    Mhh hakiwezi kikakubalika kila kitu anachofanya magufuri kumbuka yule ni binadamu kama wewe vile hatuna viongozi wengiwazuri safiiiiiiiii kivile kama uonavyo malaika ila ukweli magufuri anajitaidi pita wizara zote alizopita zile rushwa rushwa zinakuwa zinakoma na watu wengi akishafika...
  15. D

    Magufuli hatakiwi?

    Na hisi na wewe ni wale fungu la kumi magufuri yukoo poaaa sana ndo mana watanzania wengi wanamkubali hizo nyumba wakubwa walimfanyia fitina kumbuka sehemu zote anazopita watu wanaogopa coz wabong tunapendwa kuongwa sana ukweli kwa tz sina wasiwaisana na magufuri na hamu kuona wachina...
  16. D

    Baraza Jipya la Mawaziri hili hapa...

    i see jaman du nilkuwa nawish magufuri apewe japo wizara nyeti kama madini vile mkwele naye sasa magufuri na mwakyembe sahani moja sijui itakuwa vipi hapo
  17. D

    Uzee...

    Mhhhh kazi kwelikweli
  18. D

    Elections 2010 Spika Sitta Ukifanyiwa Zengwe CCM fanya haya

    jama jama chenge nanchukia sana huyu mtu Jamani hakuna aliyekamilika ila ni bora ya sita thithim ikimuweka tu chenge itakuwa imejitafuna
  19. D

    Nitajuaje kama mpenzi wangu amefika kileleni (orgasm)?

    utamsikia akisema ishiiiiiiiii mamamama kakaka aii mhhhhhhh huku akitwanga kwa kasi kama aliku ana baasi atalegezaaa
  20. D

    Elections 2010 Loyola vurugu tupu: CHADEMA yataka matokeo yatangazwe haraka

    Chadema wataka matokeo ya ubungo yatangazwe haraka kabla yajachakachuliwa kuna vuruguzimetokea hapa naona mabomu ya machozi naskali kibao wametandazwa kila konaa
Back
Top Bottom