Unachohitaji ni ujuzi..na wala siyo degree. Ni Bahati mbaya Sana kwamba degree zetu nyingi na mfumo wa ufundishaji unaishia kutoa maarifa na wala siyo ujuzi.
Mfano unaweza ukasomea Human resources management unaishia kuwa na maarifa, lakini zile ule ujuzi unaohitaji katika hii fani Kwa mfano...
Inategemea na ukubwa na wa saluni yako na mtaji, unaweza fanya yafuatayo Kwa ndani:
1. Weka mafuta, perfume na nail cutter ambazo wanaume wanapenda kutumia.
2. Uza vocha Kwa kurusha na huduma za kifedha.
3. Weka hizi smart watch hazichukui nafasi kubwa, kinachohitajika tu ni design nzuri Kwa...
Kwa msaa wa AI ChatGPT, huu ndio ufafanuzi wa Against Positioning Marketing Strategy.
With reference to Avis car rental, the against positioning marketing strategy works as follows:
Avis differentiated itself from Hertz, the market leader, by emphasizing its customer service and quality. Avis...
Natamani ingepitishwa kabisa Sheria kila Kaya angalao iwe na miti angalao mitano, ambayo itakuwa inagawiwa bure na Serikali.
Hii ingesaidia sana kuboresha hali ya hewa na kuweka kivuli katika nyumba, vilevile miti mingine ingesaidia kwenye lishe, hasa miti ya matunda.
Mfumo wa duka la dawa kwa bei nafuu.
Tsh 300,000 kwa mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro. Mikoa mingine Tsh 500,000.
Bei inajumuisha installation na training.
Kwa maelezo zaidi: Pharmacy Management System - First Choice Enterprises
Simu: 0784 675 425
Y
Yes, uzuri ni kwamba wanalipa pesa kupitia Payoneer na Skrill ambazo zote unaweza tuma hela Tanzania kupitia benki.
Nyingine hii ambayo ipo chini ya PACTERA EDGE, Oneformal, ukitaka kujiunga tumia hii link: ONEFORMAL: ONLINE WORK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.