Voda 5G iko vizuri ingawa sio maeneo yote inapatikana ila hawa Tigo ni wasanii wanakwambia maeneo ya masaki,Airport na city centre inapatikana 5G ila kiuhalisia hamana kitu.
Kwanza hongera kwa kujichanga na kufikisha hicho kiasi! Naomba nikushauri kitu kama ni mpambanaji pambana uongeze pesa uchukue Toyota voltz toka japani yenye 4WD ni gari nzuri spare zipo nyingi tu licha ya uzalishaji wake kusimama nimeitumia huu ni mwaka wa 6 na chuka iko vizuri kabisa.ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.