Huyo kijana nae ana mapungufu,sidhani kama mtu wa dini anaweza akawa mzinzi,asitudanganye bwana,yeye alipashwa kutafuta mchumba kwanza,amchunguze vile atakavyoridhika kulingana na maadili ya dini yake inavyomwelekeza huku na yeye akiwa anaandaa mazingira ya kumtahadharisha na tabia hizo au...
"Naunga mkono hoja hiyo kama njia mbadala ya kuiepusha nchi katika vita.
Raisi kashindwa kwa baadhi ya mambo yafuatayo yanayomfanya apoteze sifa za kuwa Raisi mwenye hadhi.
1.Ameshindwa kulinda umoja wa watanzania kwa kupitia hoja ya kadhi na OIC na kuwagawa watanzania kwenye makundi makubwa...
{Unajua nini Fidel!! ukweli unabaki pale pale ya kwamba haya mambo yanahitaji experience ili uweze kuyafaidi vizuri, ukiangalia akina dada wote wanaotajwa wanayaweza mambo utakuta wameanza hayo mambo mapema sana, sijui wakitanga, wamakonde, warangi na hata wazaramo...wote wanafunzwa mambo ya...
:A S-rose: Hi,
Nashukuru kwa kunikumbuka mdau mwenzangu,ni kweli nina muda nyingi sikuchangia mada yoyote nilikuwa safarini kwa muda kidogo vijijini.
Any way,kiukweli mwanamke ataanza kumpenda mwanaume pindi tu atakapothibitisha kuwa mwanaume huyo anampenda kwa kumjali hisia...
Masanja aache mambo ya kitoto,yote maisha na wala pesa haina mwisho hata uwe tajiri vipi.
Kama alishindwa ITV atulize boli afanye kazi na si ushambenga tuuuuuuuuuu.
Acha bwana,ndugu Madiba ndo mwanaume bwana,siku zote mwanaume lazima uwe na maamuzi ya kujitegemea na si vinginevyo,maana wanawake wengine wanajisahau sana,kwani hata kama mzee yuko jela ndo umsaliti?Ngoja apigwe chini kwanza sasa hivi Gracia anakula kiulaini.
Huyo balozi mbona haonekanii kama ndo mfiwa mwenyewe,yani yeyey yupo kwenye stori tu,Ila nampa pole sana na huyo shamba boy ilikuwaje mpaka amchome mrs.....Balozi kisu jameni au ndo mambo ya kuchoka kufokewa na bosi kila wakati?
Naye iko siku yake ataelekea aliko huyo mama,sote tu safarini jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.