Yanga inaondoka kesho asubuhi kwenda Bukoba tayari kwa mchezo dhidi ya Kagera Sugar utakaofanyika Jumamosi.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Yanga, Dismas Ten alisema wachezaji wote wako tayari kwa mchezo huo akiwemo Amissi Tambwe aliyekuwa majeruhi kwa muda mrefu.
“Timu imefanya mazoezi...
Baada ya kusua sua msimu uliopita hadi kukamata nafasi ya 6 kwenye Ligi ya EPL na kubahatisha kuingia kwenye michuano mikubwa ya Champions League kwa tiketi ya Europa,msimu huu kocha Jose Mourinho hataki kuona mzimu huo ukijirudia.Mwaka huu tunatembeza dozi hatari ili kuhakikisha hatubanduki...
HIVI karibuni, Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ilipitisha majina ya wagombea wa mwisho ambao watawania nafasi za uongozi katika Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB).
Uchaguzi huo wa Bodi ya Ligi umepangwa kufanyika Oktoba 15, mwaka huu ili kuwapata viongozi wapya...
Wadau nimebahatika kusoma short course ya winserver 2003 kama miaka 3 iliyopita,sasa kutokana na nature ya kazi yangu sikuwahi kupata wasaa wa kwenda field au mazoezi yoyote ya jinsi ya kutumia.Kwa sasa nipo hom tu nahitaji nipate mazoezi ili kuongeza ufanisi juu ya program hiyo.Naomba yeyote...
Ni miezi,majuma,masiku yamepita na sasa tunahesabu masaa ili Watanzania wakamilishe haki yao ya msingi ya kupiga kura ili kuwachagua viongozi wapya watakaoiongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka mitano.
Hatuna budi kumshukuru Mola wetu mlezi kwa kutujaalia uzima kufika hapa tulipo japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.