Mimi namwita mwamba, Mdau ukipenda utambatiza jina upendalo. Nimekutana na huyu dogo akiwa anafua uniform zake za shule midaa hii, kumbe aliziweka tu ndani zikiwa chafu baada ya kufunga shule.
Sijawahi kusafiri nikakaa siti moja na mtoto mzuri nimpige mapochopocho au vyumba tamati ya safari. Kila siku nakutana na ngumu nyeusi mnyama Diamond, simba, valeur, konyagi, gongo..
Haijalishi iwe j3 au weekend kila naepishana nae Muda tajwa hapo juu yupo tungi, haidha anayumba, au kashika chupa ya chibuku mkononi au kiroba.... ' utafiti huu nimeufanya kanzia external mpaka ubungo mataaa na umechukua wiki nzima... Nimepishana na walevi 145 mpaka 172 kwa siku...wengi wao ni...
Kuna wimbi kubwa Sana la matangazo ya dawa za kupunguza unene/uzito kwenye mitandao ya kijamii, na hayo matangazo yanakuja kwa kasi sababu wateja wapo. 'kwanini sasa utumie hayo madawa yenye gharama kubwa na kemikali zenye madhara mwilini.
Wakati kinachokuogeza Unene unakijua' ndio mana...
Unakuta pombe ipo kwenye chupa au packet ndogo lakini ina alcohol sawa na ile ambayo ipo kwenye chupa au packet kubwa? Mfano nyagi ndogo ina alcohol sawa na nyagi kubwa" hii imekaaje, pia naomba kujuzwa pombe unapo i dilute kwa kongeza maji unapunguza alcohol?
Naomba Masada wanajamvi, Kuna rafiki yangu anataka kusoma short course yoyote ile ambayo itamfanya ajiajiri mwenyewe, lakini isiwe udereva..,nawasilisha kwenu wadau.
Kwa wale walevi wa bia laini ukiachana na gongo,chibuku,mataputapu, na chan' gaaa , Igo imekua mkombozi wetu , mwendo wa vikombe 3 vya buku tatu upo vizuriiii,.... pesa ishakua ngumu anko magu hoyeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.