Mwaka 2013 au 14 kama cjakosea zitto na kafurira walifukuzwa kwnye vyama vyao lakn chaguzi hazkfanywa kwny majimbo yao...hii awamu ya wazalendo kuhama chama na kufanya chaguzi kutumia pesa za watz wanaona sawa afu hawataki kuitwa weak
Tatzo ulkua kiraza au mtoro shule utakumbukaje vitu kama hvyo......walkuepo watu kama mangi meli mangi sina wa kibosho ambao walimpinga mjeruman mwanzo mwisho, unapouliza ktu ucjfanye unajua na ku make conclusion kama hawakuepo wakt historia ya tz inawakumbuka watu sengi kutoka kaskazin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.