Bado napokea maombi kabla ya kuyachambua na kupata mtu sahihi. Kwa wale wote mnaojifanya kunifundisha vile mnavyotaka nifanye, NIWAPE TU USHAURI kwamba sikuleta andiko hili hapa kuomba mawazo yenu BALI mimi nimeleta Tangazo la nafasi ya kazi. Kwa msingi huo, ni jukumu la mtu anayehitaji kuona...
Inaonekana huelewi nini maana ya matumizi. Kwa mfano ; nikimlipa 150,000 au 200,000 kwa mwezi halafu apange chumba, alipie maji na umeme, anunue chakula, sabuni, alipie usafiri wa kuja kazini na kurudi, akiugua ajilipie, anunue mahitaji ya nyumba kama godoro, kitanda, nk. Hivi, kwa hesabu zako...
Msichana wa kazi anatafutwa hapa Dar es Salaam. Anaweza kutoka Mikoani pia, cha msingi awe na nia thabiti ya kufanya kazi zake kwa ufanisi na kwa hiari siku zote bila kushurutishwa. Suala la yeye kuja Dar kama anatoka mkoani linaongeleka na linawezekana. Ningependa awe Mkristo na hasa wa dhehebu...
Nawashukuru wote mliochangia hii mada iwe kwa muono chanya au hasi. Hatahivyo, ukweli ni kwamba serikali iliingia hii program kabla ya sisi wahathirika kuingia mkataba huo. Hivyo, ni jukumu la serikali yetu kupitia HESLB na TCU kuhakikisha kwamba tunapata stahiki yetu, kwani initiators wa huu...
Nashindwa kukusaidia, kwani inaelekea huelewi nini maana ya watu kwenda kusoma nje ya nchi moja na wengine kuja kusoma ndani ya nchi nyingine. Kwa ufupi, hii program ilikuwa initiated na serikali yenyewe baada ya kuona umuhimu wa huo utaratibu.
Mh. Rais wangu Mpendwa Dr. Magufuli,
Pole na majukumu ya kujenga nchi yetu kutokana na changamoto za kujenga nchi yetu. Pamoja na hayo nataka kuchukua fursa hii baada ya uvumilivu wa mda mrefu kukuelezea masikitiko yetu na jinsi tunavyoteseka sisi wananchi wa Tanzania tunaosoma na kuishi hapa...
Naomba kuuliza kwa wale wataalam wetu wa mambo ya simu au yeyote mwenye ufahamu naomba anisaidie katika hili. Ninasimu yangu inatumia Micro-SD na nilikuwa naishi nje ya nchi lakini sasa nataka kurejea TZ na kwa msingi huo nitahitaji kutumia laini zetu za kawaida za Voda, Tigo, n.k. Sasa swali...
G Sam
Ndugu Watanzania,
Leo najitokeza kwenu kwa mara nyingine tena kuwaeleza consequences za maamuzi yetu ya kuipa CCM ushindi katika uchaguzi mkuu uliopita. Sipo hapa kuwakatisha tamaa, lakini naomba tu mjue kwamba kwa maamuzi yetu ya kumchagua Mh. Magufuli kuwa Rais kupitia CCM, basi...
Hapana UDASA haijahusika hata kidogo na members wa UDASA wametumiwa tu mwaliko kama watu wengine. Ukumbi wa Nkurumah unakodishwa kwa mtu au Taasisi yoyote ili mradi kusiwe na shughuli inayofanyika hapo kwa siku husika. Kama walivyosema wengine ni kwamba huo mdahalo kuna watu kwenye system wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.