Sifa:
Vyumba 3, kimoja ni master.
Sebule kubwa
Jiko na stoo yake
Choo cha wageni
Eneo kubwa na la kutosha,
Unalizia rangi, tiles na ceiling board unaaamia.
Kwa mawasiliano zaidi: 0767077952
Tazama picha zake hapo chini tafadhari.
Nyumba kali sana inauzwa wilayani Tarime Mji, maeneo ya Nkende shule ya msingi, ina eneo la 25x40, nyumba ni kubwa sana ina vyumba 3 vya kulala na kimoja ni master, dining room, siting room kubwa sana, jiko na choo cha wageni.
Nyumba hii inahitaji kumalizia siling board, kupiga rangi na kuweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.