natamani kweli zile enzi zirudi lol! bibi yangu aliwahi kunisimulia hiyo habari yaani ilikuwa ni kufunika vile vifaa vya midungunyuo baaaas, nadhani enzi hizo wanaume walikuwa na uwezo mkubwa wa kuzuia ny.ge zao tofauti na sasa.:A S 39:
ahahahahha pmoses95 sawa kaka mukubwa nimekusoma, sitarudia tena. Ila wanawake tuna akili nyingi sana kumbuka Adam na Eva/Hawa, kumbuka Samson na Delillah.
Wanaume ishini na wake zenu kwa akili.:shut-mouth:
Habari wadau,
Naomba kufahamishwa kuhusu huu ugonjwa, unatokana na nini dalili zake n.k
Kuna my friend kafariki juzi (R.I.P buddy) alkwenda hsptl akaambiwa ana fangasi ya ubongo coz alikuwa anaumwa kichwa sana, ila walimwambia ameiwahi na angepona lakini haikuwa hivyo.
No matter what he is doing, awe jambazi awe mwema Mungu ndo anajua. Ninachoweza kusema ni asante sana Lameck Airo umenisaida saaana kwa kunisomesha baada ya kuachwa yatima, na si mimi tu najua tupo wengi ulotusomesha kabla hata hujawa mbunge. Mungu akubariki kwa hilo, sasa nna kazi nzuri na...
Thanks kwa elimu hii nzuri, but nilikuwa Kagera kipindi fulani wakati ugonjwa huu ukisemekana kutokea Uganda, na watu walikuwa wanasema kwamba kuna kabila fulani huko ndani ndani kwenye vijiji vya uganda huwa wanapenda kula nyani na ndo wanapata huu ugonjwa sijui ni kweli.
Ni hatari na...
Even your mother is the devil. Acha kugeneralize wewe!:angry:
Read this short story
· Mume na mkewe waligombana wakiwa safarini ndani ya gari lao. Ugomvi ulipozidi mume akapandwa na hasira akasema,"Wanawake wote ni punda tu!! Mke akanyamaza. ... Wakati wakiendelea na safari wakaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.