Sheria za hizi professions kama architecture n.a. law. Zinalimits advertisements. Unaruhusiwa kujitangaza Kwa njia ya kuelimisha jamii.
Kazi zako ndo advertisement.
Mkuu amefifisha ushindani wa kibiashara katika nyanja mbali mbali. Angalia ujenzi wamepewa TBA, angalia usafirishaji, wamepewa jeshi, angalia insurance wamepewa NIC.
Hii ya kuingia sekta ya bank ni mwendelezo, yeye angependa kazi zote zifanywe na Serikali, hataki mambo ya sector Binafsi...
Kwa mnaji huu Tegeta soon itakuwa kama Kimara. Barabara mbili zishazidiwa tayari, sasa wakija kuondoa moja ili itumike kwa magari yaendayo kasi foleni itakuwaje.
Tuseme ukweli, ni asilimia chache ya wamiliki wa magari binafsi watakubali kuacha kutumia magari binafsi na kutumia mabasi yaendayo...
Naona sababu zake si za kweli, kuna sababu zaidi ya hiyo hajaisema.
Kama alishiriki kumkaribisha Lowasa UKAWA kwa nini leo dhamira ndo imsute, ? huko nyuma dhamira ilikuwa imekufa?
Nadhani huenda ameona siasa haimlipi au alitegemea ateuliwe na UKAWA Kuwa mgombea na alitegemea safri hii kwa...
Mkuu tatizo lako ni kubwa na ni maPepo, unahitaji kuombewa. ukitaka kujua kama ni mapepo angalia channel za TB Joshua wa Nigeria, story za watu ni kama zako, Tafuta kanisa la Mchungaji Katunzi atakusaidia.
Interesting:
Tony Blair alihama Catholic kwenda Anglican kwa ajili ya uongozi, baada ya kumaliza uongozi wake akarudi tena Catholic,
Haitakuwa mara ya kwanza kwa mwanasiasa kuacha mambo ya kiimani kisa uongozi
Kuna hoja hapa kwanini alihama.
hebu fafanua, ili wapinzani wafunge midomo
Pole sana dada,
Amua kuokoka, biblia inasema, ukiokoka unakuwa kiumbe kipya, ya kale yanapita. huyo mchumba usimwambie, muombe Mungu hekima kama ungependa ajue bila ya kuharibu uhusiano wenu. Mungu atakupa hekima, hasa kama umebadilika kwa dhati.
Yesu atakuweka huru na hilo doa maishani...
You need deliverance. nenda kanisa lolote la Kipentecoste au Assemblies uombewe, haipo duniani. Biblia inasema wazi wazi kuwa ni laana.
Huwezi kubaldili hilo.
I think he (President Nkurunziza) has a point, amekuwa rais wa kuchaguliwa kwa kipindi kimoja, aachwe amaliziee muda wake.
kabla ya kumhukumu, tungejua katiba inasemaje.
Msichana asiolewe na mtu kwa sababu anamuonea huruma, ni kosa sana. Kama anampenda kwa dhati Mungu atafanya njia.
Kama anweza asubiri hasira za wazazi zipungue kisha watafutwe wenye hekima walijadili na kulimaliza.
Ila si vibaya kama atatafuta mwingine kuliko kuolewa na mtu just because...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.