yupo sahihi kabisa kwani wananchi huchagua viongozi lakini maamuzi mengi kama sio yote hufanywa na viongozi hivyo TASWILA YA DAR INA SURA YA FIKRA ZA VIONGOZI:teeth::teeth::teeth::teeth::teeth::teeth:
tunapongeza wananchi waliotoa taarifa kwa nyombo vya dola kwani bila wao kuweka utanzania kwanza hali ingekuwa tofauti. MUHIMU KWA WAUMINI WOTE TUWE MAKINI NA WATU TUNAOABUDU NAO.
watanzania tu wavivu wa kufikiri....hivi inaingia akilini motto anajue hesabu za sekondari bila kufundishwa,, je kiingereza anaongea na nani mpaka ajue vizuri ....kunakitu inabidi kufikiria upande wa pili ujiniasi uzaliwa shuleni ambapo mtoto hupapa basic study ambazo humsaidia katika kujenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.