Mimi nipo Arusha.... mradi wa umeme wa REA umepita ktk mtaa wetu na baadhi ya watu wameshafungiwa ila wengine bado! leo tunapata ujumbe wa sms kujulishwa kulipia gharama za umeme lakini ajabu gharama ni sh 177,000! je; za nini wakati umeme wa rea tunaambiwa ni sh 27,000????
Ni wazi kuwa ni jukumu la serikali kuhakikisha upatikanji wa maji safi na salama... Kama kero ya maji ni fursa, nchi yetu pendwa imebarikiwa vyanzo vingi vya maji. Wajiongeze na wachimbe visima na kusambaza maji kila pembe ya nchi hii!!!
Nn mantiki ya hizi tozo??? Serikali ifanye busara kutambua umuhimu wa maji na tabu ya wananchi bila maji... Serikali yetu ni ya wanyonge! Serikali inatakiwa kuboresha miundo mbinu ya upatikanaji wa maji na si tozo ambazo si rafiki ata kidogo ukizingatia maji ni UHAI.
Pole mkuu... Hayo ni matokeo ya jitihada zako za kushindwa kuwa mkweli kwa nafsi yako mwenyewe! Uliamini hisia zaidi kuliko ukweli unaopingana na uhalisia na apo ndipo ulipoteleza na kuanguka mazima... Ushauri;- achana na huyo mwanamke mara moja na anza maisha upya!
Pole sana ndugu.... Maneno yako yanaakisi maumivu na uchungu wa hasira ulionao lkn hakuna sababu ya ww kwa kupaniki na kuwa mkali kiasi hicho! Shukuru Mungu umejua hupendezwi na tabia za mchumba wako. Usiwaze kuhusu gharama coz ulihudumia kwa upendo na kwa mapenzi yako mwenyewe! Najua unampenda...
Kwa kifupi;- Pressure ya macho ni moja ya magonjwa ya macho inayosababisha upofu... Kitaalam inaitwa GLAUCOMA lkn kiswahili chake chepesi ni shinikizo la jicho! Ugonjwa huu huathiri seli za macho zinahusiana na kuona na kusababisha upofu. Seli hizi huaribika kutokana na mgandamizo ndani ya jicho...
Kwa maelezo yako.... Hao wana mahusiono mengine ya ziada ambayo si rafiki kwako!!! Viashiria vyote hivyo viwe chachu kwako- ujiongeze msimamo na ufanye maamuzi ya busara!!!
Poleni sana kwa kilichowatokea.... Kama sijakuelewa vizuri sioni 7bu ya kumlaumu na kumhukumu mwenzio kwa kiasi hicho!!! Changamoto apa ni mazingira.... Kaaeni chini wote mzungumze na mjue ni jinsi gani mtatatua changamoto iliyo mbele yenu!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.